VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Baada ya kushindwa Arumeru Mashariki(Ubunge),Kirumba (Udiwani) na kwingineko,Chama cha Mapinduzi chajiandaa kuwa chama cha upinzani.CCM si ile ya zamani.Haiaminiki.Haiwezi kushinda tena;iwe uchaguzi mdogo au mkuu.Vikao vinaendelea..