mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
sasa huo mnatangaza uadui ndivyo mlivyo ambiwa na ufadhiri wenu tutawaogopa kama ukoma
nipo vizuri na jamii na ccm yangu sina dhiki kama za mtoa post
TOT ikipiga mahali hata kama kiingilio ni Azam cola , hakuna anayekuja ! Noma sana , hata maonyesho yenyewe wameacha kufanya , usicheze na nguvu ya umma mkuu .hongera , huku kwetu ni sheeeeewda
Acha uongo , hapa unagombea nini?nipo vizuri na jamii na ccm yangu sina dhiki kama za mtoa post
Kwenye kundi hili yupo ndugu yangu mmoja , nimemtengelea mbali , siwezi kukubali kudhalilishwa namna hii !Mimi kama nikigundua ndugu yangu anaishabikia CCM na undugu unakufa hapo hapo............
Ndugu TAIRO mmiliki wa PENTAGON kurasini alionywa mapema kuhusiana na kuileta pale bendi ya Nape , VIJANA JAZZ , aliambiwa ataua bar yake lakini hakusikia , leo hii ukikuta wateja hata watatu pale ni miujiza ! Mungu kamchapa kofi la usoni , amejaribu hata kuibinafsisha lakini nani anayetaka kujitwisha gunia la misumali ?
Mimi kama nikigundua ndugu yangu anaishabikia CCM na undugu unakufa hapo hapo............
nipo vizuri na jamii na ccm yangu sina dhiki kama za mtoa post
mm mwenzenu nna mtihan mkubwa sana, baba angu hajui kusoma wala kuandika, alishawahi kuwa balozi wa mtaa wa ccm hapo awali lakin nlimshauli baadae akaachana nao akawa ananiunga mkono ktk harakati za kuitokomeza ccm kijijin kwetu, chakushangaza nmerudi kutoka chuon nmekuta tena ccm wamemlaghai fikra kwa kumpa kofia na shati la kijan kubwa wakamrudisha tena kwenye ubalozi wa mtaa kupitia ccm, nliumia sana licha ya yy kunipa moyo kuwa wanamlazimisha mpaka na kumtolea vitisho na ha ktk uchaguzi hatachagua ccm, lkn nnamaswali mengi sana, najiuliza hawa ccm inakuwaje wanamlazimisha mtu kumpa ubalozi ilihali hajui ata kusoma wala kuandika? mpaka sasa najipanga kuikoa familia yangu ktk lindi la umsikin lilosababishwa na ccm niombeen ndugu zangu ili mzazi wangu nmwokoe kutoka ktk dimbwi la ccm.
Nadhani makombo ya mafisadi yanakuweka mjini,huku kwetu rock city ni aibu kwa mtu timamu kuvaa tu yale marapurapu yenu ya kijani na lazima azomewe! Ni laana kubwa kuwa ccm
Huwezi kushindana na nguvu ya umma, watu wakiamua kukupandisha chati watakupandisha na wakiamua kukushusha wanakushusha tu ndio maneno ya watu wakati wakitoka kwenye fiesta pale diamond aliposhuhudia kwa mara ya kwanza akizomewa na mashabiki wake wakati mwenzake Ali kiba akishangiliwa kwa vifijo.
Timu ya ndanda imeingia katika mgogoro mkubwa na wananchi wa mtwara kwa sababu viongozi wake kuambatana na ccm ili hali wakijua fika kwamba ccm imejichimbia kaburi kutokana na sakata la gesi , Kundi maarufu la ze comedi la akina masanja limepoteza mvuto kwa sababu ya ccm , bar ya pentagoni kurasini imekufa kwa sababu ya bendi ya TOT kutumbuiza hapo,
timu ya majimaji ya songea imepotea baada ya wafanyabiashara kukataa kuchangia kutokana na ccm kuwa karibu na timu hiyo, wakati mwingine unaweza kujiuliza wapo wapi akina bushoke, na maswaiba wake akina chege , temba na afsa .
kuna baadhi ya maeneo hata ukiweka bendera tu ya ccm kwenye pikipiki yako watu hawapandi, kama una mgahawa ukiweka picha ya ccm watu hawaji kula hapo, imefikia hatua hata kama mtu unahitaji kuoa unakataliwa kama wewe ni ccm , hata kukopa tu kama wewe ni ccm unaambiwa nyie hamlipi .
Usishindane na nguvu ya umma , nguvu ya umma si mchezo .
Kwenye kundi hili yupo ndugu yangu mmoja , nimemtengelea mbali , siwezi kukubali kudhalilishwa namna hii !
Huwezi kushindana na nguvu ya umma, watu wakiamua kukupandisha chati watakupandisha na wakiamua kukushusha wanakushusha tu ndio maneno ya watu wakati wakitoka kwenye fiesta pale diamond aliposhuhudia kwa mara ya kwanza akizomewa na mashabiki wake wakati mwenzake Ali kiba akishangiliwa kwa vifijo.
Timu ya ndanda imeingia katika mgogoro mkubwa na wananchi wa mtwara kwa sababu viongozi wake kuambatana na ccm ili hali wakijua fika kwamba ccm imejichimbia kaburi kutokana na sakata la gesi , Kundi maarufu la ze comedi la akina masanja limepoteza mvuto kwa sababu ya ccm , bar ya pentagoni kurasini imekufa kwa sababu ya bendi ya TOT kutumbuiza hapo,
timu ya majimaji ya songea imepotea baada ya wafanyabiashara kukataa kuchangia kutokana na ccm kuwa karibu na timu hiyo, wakati mwingine unaweza kujiuliza wapo wapi akina bushoke, na maswaiba wake akina chege , temba na afsa .
kuna baadhi ya maeneo hata ukiweka bendera tu ya ccm kwenye pikipiki yako watu hawapandi, kama una mgahawa ukiweka picha ya ccm watu hawaji kula hapo, imefikia hatua hata kama mtu unahitaji kuoa unakataliwa kama wewe ni ccm , hata kukopa tu kama wewe ni ccm unaambiwa nyie hamlipi .
Usishindane na nguvu ya umma , nguvu ya umma si mchezo .
wasira
...
......ukiweka nembo ya chadema kwenye bodaboda wateja wanamiminika kama njugu !!!
![]()