CCM yaiponza Ndanda FC

CCM yaiponza Ndanda FC

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Nimehadithiwa na mkazi mmoja wa Mtwara juu ya siri ya timu ya soka ya Ndanda FC kutofanya vyema katika michuano ya ligi kuu Tanzania Bara. Nimeambiwa kuwa wananchi wa Mtwara kwa sasa wameisusa timu hiyo na hivyo inayumba na kufanya vibaya. Nikapewa stori kuwa Ndanda FC ilishikwa na inaendelea kushikwa na viongozi walio na mafungamano na CCM.

Kutokana na CCM 'kuchukiwa' na wananchi wa Mtwara kutokana na masuala ya gesi,kitendo cha viongozi wa Ndanda FC kufungamana na CCM kimewafanya wananchi wa Mtwara 'kuichukia' timu hiyo. Ndiyo maana hata mahudhurio na hamasa ya wananchi wa Mtwara na viunga vyake vimepunga kwa kasi.

cc THE BIG SHOW
 
Kama CCM inachukiwa kiasi hicho ni kitu gani kinaifanya inajinasibu kuwa kitatawala milele? bila shaka ndo inaishilia hivyo.
 
Nimehadithiwa na mkazi mmoja wa Mtwara juu ya siri ya timu ya soka ya Ndanda FC kutofanya vyema katika michuano ya ligi kuu Tanzania Bara. Nimeambiwa kuwa wananchi wa Mtwara kwa sasa wameisusa timu hiyo na hivyo inayumba na kufanya vibaya. Nikapewa stori kuwa Ndanda FC ilishikwa na inaendelea kushikwa na viongozi walio na mafungamano na CCM.

Kutokana na CCM 'kuchukiwa' na wananchi wa Mtwara kutoana na masuala ya gesi,kitendo cha viongozi wa Ndanda FC kufungamana na CCM kimewafanya wananchi wa Mtwara 'kuichukia' timu hiyo. Ndiyo maana hata mahudhurio na hamasa ya wananchi wa Mtwara na viunga vyake vimepunga kwa kasi.

cc THE BIG SHOW

kama hii ni kweli, basi CCM poleni sana.
 
Hilo nililijua mapema sana , siku hizi mambo yamebadilika sana , ukitaka kuwa adui wa wananchi jiambatanishe na ccm ! Hali hii ndio iliua kabisa bendi ya TOT .
 
Hilo nililijua mapema sana , siku hizi mambo yamebadilika sana , ukitaka kuwa adui wa wananchi jiambatanishe na ccm ! Hali hii ndio iliua kabisa bendi ya TOT .

hivi kweli TOT wamekuwaje aisee
 
safi sana. nadhani ni miongoni mwa habari nzuri kabisa kwangu kwa leo.

Nimehadithiwa na mkazi mmoja wa Mtwara juu ya siri ya timu ya soka ya Ndanda FC kutofanya vyema katika michuano ya ligi kuu Tanzania Bara. Nimeambiwa kuwa wananchi wa Mtwara kwa sasa wameisusa timu hiyo na hivyo inayumba na kufanya vibaya. Nikapewa stori kuwa Ndanda FC ilishikwa na inaendelea kushikwa na viongozi walio na mafungamano na CCM.

Kutokana na CCM 'kuchukiwa' na wananchi wa Mtwara kutokana na masuala ya gesi,kitendo cha viongozi wa Ndanda FC kufungamana na CCM kimewafanya wananchi wa Mtwara 'kuichukia' timu hiyo. Ndiyo maana hata mahudhurio na hamasa ya wananchi wa Mtwara na viunga vyake vimepunga kwa kasi.

cc THE BIG SHOW
 
Hilo nililijua mapema sana , siku hizi mambo yamebadilika sana , ukitaka kuwa adui wa wananchi jiambatanishe na ccm ! Hali hii ndio iliua kabisa bendi ya TOT .
TOT yenyewe inayoongozwa na mzee wa kwenda kunya msituni unatarajia nini. na ife kabisa.
 
safi sana. nadhani ni miongoni mwa habari nzuri kabisa kwangu kwa leo.

Hata kijijini kwetu ni hivyo. Uenyekiti wa kijiji ukitaka useme wewe ni upinzani utapata tu, na ole wako useme zidumu fikira za ............... umekula mzinga tayari.
 
hivi kweli TOT wamekuwaje aisee

ukitaka BAR yako ikose wateja ilete bendi ya TOT au VIJANA JAZZ , hata kama kiingilio ni azam cola ! bar ya PENTAGON kurasini imekufa hivi hivi ! Usicheze na nguvu ya umma mkuu .
 
Hata kijijini kwetu ni hivyo. Uenyekiti wa kijiji ukitaka useme wewe ni upinzani utapata tu, na ole wako useme zidumu fikira za ............... umekula mzinga tayari.
safi sana. naliona tumaini jipya.
 
Ccm tukiwashindwa kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa basi nitajua sio kila anaekupigia makofi anakushabikia wengine wanakuzomea tutajua muda si mrefu
 
Nimehadithiwa na mkazi mmoja wa Mtwara juu ya siri ya timu ya soka ya Ndanda FC kutofanya vyema katika michuano ya ligi kuu Tanzania Bara. Nimeambiwa kuwa wananchi wa Mtwara kwa sasa wameisusa timu hiyo na hivyo inayumba na kufanya vibaya. Nikapewa stori kuwa Ndanda FC ilishikwa na inaendelea kushikwa na viongozi walio na mafungamano na CCM.

Kutokana na CCM 'kuchukiwa' na wananchi wa Mtwara kutokana na masuala ya gesi,kitendo cha viongozi wa Ndanda FC kufungamana na CCM kimewafanya wananchi wa Mtwara 'kuichukia' timu hiyo. Ndiyo maana hata mahudhurio na hamasa ya wananchi wa Mtwara na viunga vyake vimepunga kwa kasi.

cc THE BIG SHOW

Ndanda Fc kabla ya kuja rasmi watu walikuwa hawajui kuwa kuna political affiliations humo ndan yake.

Its beyond ridiculous kwa ccm kuamin kwamba eti kwa kuja na gia hii ya kuasisi football club na kuifanya kama ngao yao basi kutawafanya wanamtwara kusahau machungu yao.

Ingekuwa wamefanya atleast jambo la maana kama wangeiasisi hiyo football club kisha wakaiacha bila kuiingilia.

Wanachofanya ccm ni kutapa tapa na kucheza POLITICAL PONOGRAOPHY.

Its a shame.

Ugomvi wetu sisi wamakonde na ccm ni mkubwa sana zaidi ya wanavyodhania.
 
Ndanda Fc kabla ya kuja rasmi watui walikuwa hawajui kuwa kuna political affiliations humo ndan yake.

Its beyond ridiculous kwa ccm kuamin kwamba eti kwa kuja na gia hii ya kuasisi football club na kuifanya kama ngao yao basi kutawafanya wanamtwara kusahau machungu yao.

Ingekuwa wamefanya atleast jambo la maana kama wangeiasisi hiyo football club kisha wakaiacha bila kuiingilia.

Wanachofanya ccm ni kutapa tapa na kucheza POLITICAL PONOGRAOPHY.

Its a shame.

Ugomvi wetu sisi wamakonde na ccm ni mkubwa sana zaidi ya wanavyodhania.
Mkuu CDM wanakukaribisha kugombea ubunge
 
Huwezi kushindana na nguvu ya umma, watu wakiamua kukupandisha chati watakupandisha na wakiamua kukushusha wanakushusha tu ndio maneno ya watu wakati wakitoka kwenye fiesta pale diamond aliposhuhudia kwa mara ya kwanza akizomewa na mashabiki wake wakati mwenzake Ali kiba akishangiliwa kwa vifijo.

Timu ya ndanda imeingia katika mgogoro mkubwa na wananchi wa mtwara kwa sababu viongozi wake kuambatana na ccm ili hali wakijua fika kwamba ccm imejichimbia kaburi kutokana na sakata la gesi , Kundi maarufu la ze comedi la akina masanja limepoteza mvuto kwa sababu ya ccm , bar ya pentagoni kurasini imekufa kwa sababu ya bendi ya TOT kutumbuiza hapo,

timu ya majimaji ya songea imepotea baada ya wafanyabiashara kukataa kuchangia kutokana na ccm kuwa karibu na timu hiyo, wakati mwingine unaweza kujiuliza wapo wapi akina bushoke, na maswaiba wake akina chege , temba na afsa .

kuna baadhi ya maeneo hata ukiweka bendera tu ya ccm kwenye pikipiki yako watu hawapandi, kama una mgahawa ukiweka picha ya ccm watu hawaji kula hapo, imefikia hatua hata kama mtu unahitaji kuoa unakataliwa kama wewe ni ccm , hata kukopa tu kama wewe ni ccm unaambiwa nyie hamlipi .

Usishindane na nguvu ya umma , nguvu ya umma si mchezo .
 
nipo vizuri na jamii na ccm yangu sina dhiki kama za mtoa post
 
Back
Top Bottom