CCM yaichinja CHADEMA Singida

CCM yaichinja CHADEMA Singida

Kaka kwa muda huu hakuna atakayekusikiliza na vipropaganda vyako feki. Tunahitaji mutatue kero zetu nyie maccm sio mnaleta mambo ya umbea hapa. Tumechoka na umbea wenu.
Yaani mtu mzima umekaa kabisa unaleta upuuzi huu huku unajua nini kinaendelea? Huu sio mpango sepa bana.
 
Watakuja kutoa ufafanuzi wenyewe wanaojiita makamanda wa magwanda.
 
Join Date : 25th November 2012
Posts : 20
Rep Power : 315
Likes Received0
Likes Given0



Bado haujitambui kama huna hoja zinazoguza watu humu JF tangu umejiunga hakuna anayekupa like, anzisha ID nyingine uwe unajipa Like mwenyewe angalau ujifariji kwa ujinga ulionao.
 
Ccm hongera na inaonekana mnaaweza kuendesha nchi adi watu mia mbili na wameweza kutoka chadema na kuingia ccm.
 
Hakuna mtu yeyote mzima na mwenye akili timamu anaeweza kuihama CHADEMA na kujiunga na CCM, otherwise wawe watoto kama ilivyozoeleka kwa CCM ama ikawa kama ule mchezo wa mwizi kujiibia ili apigiwe kelele za mwizi na roho ifurahi.
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CDM wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

Yaani tangu mwaka 1977 mpaka leo Magmba wana hangaika na kutafuta wanachama? mi nilifikiri haya mambo ni ya vyama vipya kumbe hata Magamba wamo kweny kusaka wanachama
 
Hivi watoto wako watundu wakikimbilia nyumba ya jirani na kisha wakaamua kurudi utashangilia na kudai kuwa umemkomoa jirani yako? Mmkhotya nipe jibu!
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CDM wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

Unajitahidi kuusafisha mkaa wakati rangi yake ni nyeusi?
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CDM wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

mwambie mwigulu hata achinze pundamilia 100 haitamsaidia.
 
Hivi zile kadi Feki laki moja mlizochapisha za Chadema mmeshatoa ngapi? Nasikia kila mkoa mmesambaza za kutosha.
 
Poor masisiyemu na vibaraka wake.....tuataka maji,umeme na yale maisha bora kwa kila mtz wewe unaleta hizi ngonjera za kipuuzi?kadi zeneyewe anaprint chemba la mav....wala hamna mshipa wa aibu?mmewisha hakika!!!!
 
wanaohama ni CDM TU? Nccr,cuf,tlp,na vyama vingine wao hawahamii MAGAMBA,NENDA ZAKO UJASHAWISHI MTU NA SERA ZAKO ZA UKILAZA,MTAUMIZA AKRI ZENU SANA ILA CDM INASONGA MBELE TU,
 
Aibu gani CCM eti mmeazimisha miaka 36 ya kuzaliwa Chama Cha Majambazi (CCM),juzi miji yetu ya Geita.Shinyanga na Kahama maroli yalileta watu kuwatoa vijijini eti sherehe hizo zionekane kuwa na watu wengi maajabu wote walikuwa VIKONGWE TU na eti walipewa fedha na wabunge wao
 
huko ccm waliko enda,wenyewe watatafuta mlango wa kutokea! hivi dunia ya leo ni ya kujisifu kwa kuhamia ccm?
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CHADEMA wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

Ule mkakati wenu wa kuchapisha kadi bandia za CDM na kuzigawa wa wanasisiemu ili wajifanye wanahamia siesiemu ulioshindwa Iringa wakati wa mkutano wa Mangula pale Mwembetogwa ndio mmeuhamishia Sgd? Nape anarudi lini Dar uwahi posho yako!
 
Porojo tupu.
CCM inang'ara kwa ufisadi na ujambazi,pia uchakachuaji...sasa mko level za kujichakachua hadi nyinyi wenyewe!
 
Back
Top Bottom