CCM yafunika na kuimaliza CHADEMA Kahama

CCM yafunika na kuimaliza CHADEMA Kahama

Maudodo

Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
30
Reaction score
16
CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa CHADEMA hivi karibuni.

Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama wao na wananchi kwa ujumla inaongozwa na Katibu Mkuu wake Kanali mstaafu Abdulrahiman Kinana na Nape Nnauye.
 
CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa Chadema hivi karibuni.
Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama wao na wananchi kwa ujumla inaongozwa na Katibu Mkuu wake Kanali mstaafu Abdulrahiman Kinana na Nape Nnauye.

Picha please.
 
CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa Chadema hivi karibuni.
Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama wao na wananchi kwa ujumla inaongozwa na Katibu Mkuu wake Kanali mstaafu Abdulrahiman Kinana na Nape Nnauye.

Je imefunika kwa maana wameweza kufaulu kuwashawishi BARRICK kuwalipa fidia wananchi haki zao stahiki kutokana na migodi ya Bulyanghulu na Buzwagi? Je utapeli wa CCM katika manunuzi ya Pamba, umekwisha leo? Au wasukuma wamebaki kuwashangaklia tu maana huko nijuavyo hakuna Mbuga labda Tembo wa Serengeti.Turushie picha tushuhudie namna walivyofunika.
 
Kazi ipo... hawa waleta mada wengine dah..
 
Ni hatari sana kuanzisha mada ukiwa na gongo pembeni, suala si CHADEMA ni CCM kutekeleza ilani ya uchaguzi iliyowaweka madarakani, vinginevyo yatabaki tu kuwa kama maneno ya kwenye kanga. Kiukweli mwanzoni hata mie nilikuwa namuogopa Kinana, lakini nimegundua kuwa hakuna lolote ni walewale tu heri hata angejipumzikia mapema kama alivyokuwa ameamua, kuibeba CCM ni sawa na kubeba gunia la misumari
 
kinanaaaaa weka mbali na tembo!!
wauza sembe eti wafunika!
ajabu kwelkweli.
 
Uzi bila kuitaja CDM wamegundua hauna mashiko. Ili upate wachangiaji iseme cdm.
 
Sikuelewi . Kipindi mimi nikiwa primary nilisoma kitabu kimoja cha kiswahili jamaa mmoja alitumwa na mfalme nchi ya nje kafika mahali kaona watu wako kwenye msiba kauliza kwa Lugha mama nani kafa pale akajibiwa "sikuelewi" kaendelea kila akiona jipya anauliza anajibiwa sikuelewi ,kafika sehemu kaona ng'ombe wengi kauliza ni wanani? Kajibiwa sikuelewi. Kichwani mwake akawa anaenda akisema duh kweli tajiri SIKUELEWI kafa na kuacha mali nyingi sana.
 
Kinana yuko mawindoni kusaka tembo. Anakopita kuna matanga kibao ya tembo. Ilani ya chama wala hamhusu. Mliopo tujuzeni, yupo na ile mashine ya kusaga meno ya tembo??
 
Unachokisema na kukiandika huna uhakika nacho, sasa unataka tuchangie nini?
 
Kahama ni ngome ya Chadema CCM wametumia nguvu kubwa ya kutangaza kutumia landcruser( hard top) kutangaza muheshimiwa sana ujio wake kwa siku tatu lakini hapa mjini watu wana hamsini zao hakuna anyejaliwana CCM waliodhurumiwa kwatika ziara ya KInana Isaka wamewambia wenzao wamebaki kwenye jumba lao la CCM wakinyoosheana vidole jamani CCM ina kazi kweli
 
CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa CHADEMA hivi karibuni.

Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama wao na wananchi kwa ujumla inaongozwa na Katibu Mkuu wake Kanali mstaafu Abdulrahiman Kinana na Nape Nnauye.

Hapo kwenye nyekundu ni kiswahili au kinyarwanda!!
 
Sasa hapo CHADEMA imemalizwa kwa namna gani? Maana kuwa kichaa si lazima uonekane jalalani, unaweza ukawa kichaa huku unatumia PC.

Da. Hii inaweza kuwa kweli aisee
 
Buku saba fc kuweka thread au post bila kuitaja Chadema siku hiyo hapati posho yake.
Badala ya ccm kujivunia maendeleo waliyoyaleta nchini (kama yapo) eti wanashindana na Chadema kujaza watu mkutanoni! Pritenda wakubwa...
 
Hakuna cha maana kilichoongelewa hapo zaidi ya kukusanya wana kijiji na kuwasomba kwa magari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom