Katika hari ya taharuki kwa wanaccm na viunga vyake hapa mkoani iringa. Jana zile kesi walizo fungua, zimeaza kutolewa hukumu moja baada ya moja. Wenyeviti wa chadema wanaendelea kuibuka washindi katika pingamizi hizo. Poleni sana wana ccm. Jaribuni kukubari kuwa mlishindwa. Kuliko aibu hii mnayoipata.