Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,906
- 6,455
Short and clear answer; porini.Watanzania siku za karibuni wamekuwa more and more evi,more and more degenerate. Kuna matatizo makubwa sana ya wealth distribution. Watu wachache Ni matajiri na wengi ni maskini. Hivi ndio nchi zinavyoanguka. Ukitazama Civilization za zamani za Greece and Rome,zilianguka kwa sababu hizi hizi za polarization of wealth and the degeneracy of the people.
Watu wanaishi bila Mwongozi wa maisha.
Zamani Chama kilikuwa kinawapa Watanzania Mwongozi. Halafu watu wengine katika Chama wakawa wanalalamika,wanasema miongozi imezidi. Unaikumbuka ibara ya kumi na tano ya Mwongozo, kiongozi asiwe mnyapara? Je,watu siku hizi wanaishi kufuatana na maadili hayo?
Kuwa mnyapara ndio uongozi sasa. Kiongozi anakemea tu watu, anakejeli watu,kwa sababu he does not know that there is a better way to act. Tunaposema viongozi tunamaanisha pia hao watu wa Usalama ambao wanafanya utesaji wakati mwingine.
Sasa the society is degenerating. Imekuwa Sasa hata mapadre wanatuhumiwa kulawiti.
Wakiulizwa,nao wanajua jinsi ya kujibu,"Mbona kuna rushes Serikalini na sisi hatulalamiki?"
Wakati ule Wazee wa Chama walikuwa wanasema,"Hiki Chama,there are too many illeterate people." Ndio wakakaribishwa akina Kikwete,Ditopile Mzuzuri,kukipa Chama uhai.
Lakini ni mambo gani yanafanyika katika hii CCM ya Samia Suluhu?
Tunakwenda kweli to The Promised Land?
Unataka upelekwe na nani huko Promised land?Watanzania siku za karibuni wamekuwa more and more evi,more and more degenerate. Kuna matatizo makubwa sana ya wealth distribution. Watu wachache Ni matajiri na wengi ni maskini. Hivi ndio nchi zinavyoanguka. Ukitazama Civilization za zamani za Greece and Rome,zilianguka kwa sababu hizi hizi za polarization of wealth and the degeneracy of the people.
Watu wanaishi bila Mwongozi wa maisha.
Zamani Chama kilikuwa kinawapa Watanzania Mwongozi. Halafu watu wengine katika Chama wakawa wanalalamika,wanasema miongozi imezidi. Unaikumbuka ibara ya kumi na tano ya Mwongozo, kiongozi asiwe mnyapara? Je,watu siku hizi wanaishi kufuatana na maadili hayo?
Kuwa mnyapara ndio uongozi sasa. Kiongozi anakemea tu watu, anakejeli watu,kwa sababu he does not know that there is a better way to act. Tunaposema viongozi tunamaanisha pia hao watu wa Usalama ambao wanafanya utesaji wakati mwingine.
Sasa the society is degenerating. Imekuwa Sasa hata mapadre wanatuhumiwa kulawiti.
Wakiulizwa,nao wanajua jinsi ya kujibu,"Mbona kuna rushes Serikalini na sisi hatulalamiki?"
Wakati ule Wazee wa Chama walikuwa wanasema,"Hiki Chama,there are too many illeterate people." Ndio wakakaribishwa akina Kikwete,Ditopile Mzuzuri,kukipa Chama uhai.
Lakini ni mambo gani yanafanyika katika hii CCM ya Samia Suluhu?
Tunakwenda kweli to The Promised Land?
🤔🤔🤔🤔Watanzania siku za karibuni wamekuwa more and more evi,more and more degenerate. Kuna matatizo makubwa sana ya wealth distribution. Watu wachache Ni matajiri na wengi ni maskini. Hivi ndio nchi zinavyoanguka. Ukitazama Civilization za zamani za Greece and Rome,zilianguka kwa sababu hizi hizi za polarization of wealth and the degeneracy of the people.
Watu wanaishi bila Mwongozi wa maisha.
Zamani Chama kilikuwa kinawapa Watanzania Mwongozi. Halafu watu wengine katika Chama wakawa wanalalamika,wanasema miongozi imezidi. Unaikumbuka ibara ya kumi na tano ya Mwongozo, kiongozi asiwe mnyapara? Je,watu siku hizi wanaishi kufuatana na maadili hayo?
Kuwa mnyapara ndio uongozi sasa. Kiongozi anakemea tu watu, anakejeli watu,kwa sababu he does not know that there is a better way to act. Tunaposema viongozi tunamaanisha pia hao watu wa Usalama ambao wanafanya utesaji wakati mwingine.
Sasa the society is degenerating. Imekuwa Sasa hata mapadre wanatuhumiwa kulawiti.
Wakiulizwa,nao wanajua jinsi ya kujibu,"Mbona kuna rushes Serikalini na sisi hatulalamiki?"
Wakati ule Wazee wa Chama walikuwa wanasema,"Hiki Chama,there are too many illeterate people." Ndio wakakaribishwa akina Kikwete,Ditopile Mzuzuri,kukipa Chama uhai.
Lakini ni mambo gani yanafanyika katika hii CCM ya Samia Suluhu?
Tunakwenda kweli to The Promised Land?
Mmoja ashinde kwenye kahawa kuanzia asubuhi mpaka jioni, na mwingine alfajiri yuko kazini mpaka jioni.wealth distribution
Nani kakuzuia kufanya kazi na kupata utajiri wewe? Watu wanalima, wanafanya biashara, nchi imefunguliwa sasa hivi wanauza popoteBinadamu ni kiumbe anayesahau mazuri haraka sana. Hayati Magufuli alipokuwa anapambana na mabeberu juu ya unyonyaji wa rasilimali zetu wakina Lissu wakawa wanapambana na serikali juu ya hayo.
Ninachotaka kusema hapa ni nini? Siasa za hovyo ndio zimetufikisha hapa na ni jambo la aibu CCM ikitaka kufanya jambo zuri CHADEMA wanapinga na ni haohao ndio wa kwanza kuilalamikia CCM.
Nikija kwenye mada yako hasa pale ulipozungumzia 'wealth distribution', kuna msemo unasema mali huzalisha Mali.Msemo huu unamaanisha kwamba ili kuwe na uzalishaji wa Mali lazima Mali( rasilimali pesa na watu) viwepo za kutosha.
Mgawanyo wa rasilimali ili kumnufaisha MTU moja kwa moja haupo.
Ina maana hata kahawa na caffeine Ina maana gani?Mmoja ashinde kwenye kahawa kuanzia asubuhi mpaka jioni, na mwingine alfajiri yuko kazini mpaka jioni.
Tuishi kwa juhudi zetu za utafutaji.
Ina maana hata hujui kahawa na caffeine ina maana gani?
Kipindi hiki cha Rais Samaia Suluhu akiwa madarakani kuna mambo mengi sana yamebadilika ambayo watanzania tulitamani yabadilikeWatanzania siku za karibuni wamekuwa more and more evi,more and more degenerate. Kuna matatizo makubwa sana ya wealth distribution.
Watu wachache Ni matajiri na wengi ni maskini. Hivi ndio nchi zinavyoanguka. Ukitazama Civilization za zamani za Greece and Rome,zilianguka kwa sababu hizi hizi za polarization of wealth and the degeneracy of the people.
Watu wanaishi bila Mwongozi wa maisha.
Zamani Chama kilikuwa kinawapa Watanzania Mwongozi. Halafu watu wengine katika Chama wakawa wanalalamika, wanasema miongozi imezidi. Unaikumbuka ibara ya kumi na tano ya Mwongozo, kiongozi asiwe mnyapara? Je,watu siku hizi wanaishi kufuatana na maadili hayo?
Kuwa mnyapara ndio uongozi sasa. Kiongozi anakemea tu watu, anakejeli watu,kwa sababu he does not know that there is a better way to act. Tunaposema viongozi tunamaanisha pia hao watu wa Usalama ambao wanafanya utesaji wakati mwingine.
Sasa the society is degenerating. Imekuwa Sasa hata mapadre wanatuhumiwa kulawiti.
Wakiulizwa,nao wanajua jinsi ya kujibu,"Mbona kuna rushes Serikalini na sisi hatulalamiki?"
Wakati ule Wazee wa Chama walikuwa wanasema,"Hiki Chama,there are too many illeterate people." Ndio wakakaribishwa akina Kikwete,Ditopile Mzuzuri,kukipa Chama uhai.
Lakini ni mambo gani yanafanyika katika hii CCM ya Samia Suluhu?
Tunakwenda kweli to The Promised Land?
Umemsahau na bibi Mnaa Makinda!Nakala ziwafikie Rais Kivuli Mr Born Town na Makamu wake Rosti Maini Mizizi under stewardship of Mama Msafiri.