The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
haina ladha kabisa.
kila kitu wanachojaribu kubuni kuwashawashi Watz kioaonekana ni kioja kama si kiroja. kama hii ya kujivua ga,mba ilionekana kama itakuwa kitu maarufu, lakini kama mimi binafsi (nadhani ata Watz wengine watasapoti) sijaona mantiki yake; wala sijakunwa kabisa. kusema ccm inajiumba upya kama chiligati alisema mimi naona maigizo tu. kwa sababu hakuna kitu kinachojiumba pekee isipokuwa kwa Mungu kila kitu huumbwa. sasa hawa wanasema wanajiumba upya maana yake nini?
na hii hoja ya nape ya kusema ati watoto walizaliwa 1997 mwaka 2015 watakuwa wapiga kura; sawa ni kweli . mimi na madogo zangu walizaliwa miaka hiyo, lakini nape asahau kabisa kupata hata kura iliyoharibika kutoka kwao.
ccm kama inataka kuumbwa upya, ikubali kuachia madaraka. miaka hii si ya kutawala kwa propaganda. ccm ni chafu. imeoza inanuka. haisafishiki kwa ghilba za kujivua gamba.
sounds like a joke, huh?
wait and see......................
kila kitu wanachojaribu kubuni kuwashawashi Watz kioaonekana ni kioja kama si kiroja. kama hii ya kujivua ga,mba ilionekana kama itakuwa kitu maarufu, lakini kama mimi binafsi (nadhani ata Watz wengine watasapoti) sijaona mantiki yake; wala sijakunwa kabisa. kusema ccm inajiumba upya kama chiligati alisema mimi naona maigizo tu. kwa sababu hakuna kitu kinachojiumba pekee isipokuwa kwa Mungu kila kitu huumbwa. sasa hawa wanasema wanajiumba upya maana yake nini?
na hii hoja ya nape ya kusema ati watoto walizaliwa 1997 mwaka 2015 watakuwa wapiga kura; sawa ni kweli . mimi na madogo zangu walizaliwa miaka hiyo, lakini nape asahau kabisa kupata hata kura iliyoharibika kutoka kwao.
ccm kama inataka kuumbwa upya, ikubali kuachia madaraka. miaka hii si ya kutawala kwa propaganda. ccm ni chafu. imeoza inanuka. haisafishiki kwa ghilba za kujivua gamba.
sounds like a joke, huh?
wait and see......................