Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,514
hapana mkuu. Mambo ya msituni sio.nataka maridhiano yanayozingatia haki, usawa, ubinadamu na uadilifu kamili. Napinga watu wanaojifaharisha kwa dhamana ya uongozi na kuwa na vyombo vyenye nguvu ambayo wanavitumia kinyume na inavyotakiwa.napinga kumlaumu anaejilinda na kumpigia kifua anaedhuru.natamani watanzania wote tuungane katika hili.
nikweli hata mimi natamani hivyo lakini kwa mijitu hii ya ccm mpaka kutoka madarakani wataua wengi na kuumiza wengi sana mkuu!