Wakuu kwanza naomba nianze kwa kumpongeza Mgaya,nami niliambiwa nainsider wangu wa hapo SAUT kuwa kulikuwa na mpango mkubwa sana wa kihujumu CDM SAUT kama sikosei nilishaleta uzi huo,hujuma zilianza mwishoni mwa mwaka jana paleCDM tawi la SAUT walipzuiwa kufanya vikao vya ndanimaeneo yanayopakana na Chuo,hilo lilipoonekana kuitikisa CDM SAUT wakaja na lingine la kupiga marufuku kwubandika matangazo ya wito wa vikao mbalili vya vyama vyote vya nje ya chuo bt mlengwa akiwa ni CDMSAUT coz ndo anaimpact kubwa kuliko magamba(hawakuwa na cha kupoteza)kwa madai kwamba CCM na CDMSAUT wanabifu kali linalohatrisha amani ya chuo.
kwa juhudi kubwa za mwenyekiti wao wa tawi ndugu
Patrobasi Pascal ambae kitaaluma nimwanasheria na akiendelea kumalizia masters yake na rais wa chuo anaemaliza mda wake ambae pia ni katibu mwenezi wa tawi zamani ndugu GodListern Malisa,waliweza kupeleka hoja zenye tija kwa mlezi wa wanafunzi na kufanikiwa kulejesha taratibu ya zamani,kimsingi kuna mipango mingi inayopangwa na kuratibiwa na Magamba mfano ni sheria mpy ya mavazi chuoni hapo ambayo pamoja na mambo mengine imelenga uvaaji wa jezi na nguo za vyama vya siasa .hapa tena walengwa ni CDMSAUT kwani unaambiwa SAUT ukifika asilimia 85% wanavaa magwanda na hii imekuwa inawauma sana CCM kama vile mwanamke aliyepitisha siku za kujifungua na hana uchungu,hili la mavazi limeshindikana kutimizwa kwa sasa kutokana na Uwepo wa makamu mkuu wa chuo ndugu
Charles Kitima na rais wa sasa bwana
Malisa hawa wamekuwa hawaungi hoja zozozte zenye mwelekeo wa kimagamba na hili wameliacha kipolo ili makamu wa chuo anayemaliza mda wake mwezi wa 6 aondoke na rais wa chuo.
tarehe 8 /1 CCMSAUT walifanya mkutano na Nkamia,then tarehe 22 /2 na waziri mmoja wa serikali ya JK hotel ya GoldenCrest na moja ya mipango iliyafikiwa ni ili waweze kupenyeza mtu wao ni lazima wamnunue mtu kutoka ndani ya CDM tawi then wamsapoti kifedha bt soon akishinda atangaze kujiunga na CCM bt mpango huo ulibuma kutokana na kamanda waliyemtumia alijulikana na uongozi tawi na akajisalimisha na kuwazuga kwa kuchukua fom,hilo baada ya kushindikana wakawaagiza vijana wao wengi wachukue form hata kama wahana uwezo wa kifedha na hoja kwa mdai ya chama kuwasimamia,hata hilo nalo lililpoonekana kushindwa wakahamia kwa viongozi wa baraza la viongozi wa chuo na huko miongoni mwa majina 4 yaliyobakizwa na tume yalipaswa yarudi 2 na CCM baada ya kupenyeza fedha kwa baadhi ya wahadhili hasa watu walioko nyuma ya Cooparate council ili wampitishe mtu wao hata kama hana sifa,kwa bahati mbaya iliyotokea ni kwamba hawakuwaonesha huyo mtu ama kwa neema za Mungu wajumbe wa seneta walijichanganya na kuwapitisha watu 2 ambao si tu kwamba hawawataki bali nia wanaharakati wanaowapingagamagamba hadharani na ni watajwa hapo juu,baada ya kugundua wamebugi ndipo walipowaambia mgamba wazuge kukata Rufaa ili mchakato urudiwe na tume ivunjwe kwa leo ni hayo tu,by the way pia kuna tetesitetesi kuwa magamba wanakwamisha mambo ya SAUT ili rais aonekani hafai mfano ni suala la ucheweleshwaji wa mikopo na kuongezeka kiwango cha faini toka elfu kumi,laki moja na sasa laki na nusu