CCM wavamia uchaguzi chuo kikuu SAUT

CCM wavamia uchaguzi chuo kikuu SAUT

Amewaambia yuko chuo kikuu.hii level ambayo uko huru kuchagua cha kufanya katika maisha yako.namuunga mkono kwa kushiriki siasa ndani ya masomo
kwa mara ya kwanza naungana nawe, hawa watoto niwapumbavu kweli kweli. badala wakazane kusoma wamekazania siasa.
vikivunja sheria za chuo na kufukuzwa vinakuja kulalamika humu. nyie watoto ndo kwanza mnatafuta elimu, hiyo ccm ilikuwape na chadema kama wewe ni mwaka wa pili degree si ajabu ulikuwa hujazaliwa pia, utavikuta tu. mnakimbilia wapi? achaneni na akina lema wanawapoteza hao. wao wanamaisha yao, wewe ukifukuzwa/UKIFELI leo ndo imekula kwako.YAZINGATIENI HAYA.
 
zingatieni masomo watoto. achaneni na siasa. hizo zipo tu. umezikuta utaziacha.

Within three months of returning to Dar es Salaam Julius joined the Tanganyikan African Association. He had been a member of this organization when he was at Makerere. A much respected British Governor, Sir Donald Cameron, had originally allowed the establishment of the African Associationin 1929 as a social club for civil servants} je nyerere naye alikuwa mjinga?si naye alianza siasa za ukombozi akiwa Mkerere university kama mwanafunzi?
 
Inasikitisha sana tena sana kwamba katika nchi hii bado kuna wasomi wa ngazi ya chuo kikuu wanashabikia ccm.

Hivi kweli hawaoni hali ya nchi ilivyo mbaya?
Elimu inazidi kuporomoka.
Rushwa inakuwa kama kitu cha kawaida.
Ardhi inachukuliwa.
Ajira kwa upendeleo.
Wageni wanajaa kwenye makampuni mengi.
N.k

still kuna mwanafunzi wa chuo anashabikia ccm?
 
Iliwahi kutokea DUCE uchaguz wa viongozi 2010/2011 walipo wa disqualify presidential candidates akina Ludovick joseph na mwenzake nimemsahau kwa7bu tu ni wanachama wa CHADEMA, chn dr HUVISA ambaye akazawadiwa uwaziri kwa kazi nzuri chezea ccm weye!
 
Within three months of returning to Dar es Salaam Julius joined the Tanganyikan African Association. He had been a member of this organization when he was at Makerere. A much respected British Governor, Sir Donald Cameron, had originally allowed the establishment of the African Associationin 1929 as a social club for civil servants} je nyerere naye alikuwa mjinga?si naye alianza siasa za ukombozi akiwa Mkerere university kama mwanafunzi?
Kwanza hata hamueleki nyie waG, mara mseme TAA kilikuwa chama cha starehe, kama mkisimamia hiyo kauli yenu, je nyerere alijiunga na chama cha siasa au cha starehe?
lakini la muhimu kabisa, je waijua historia vizuri ya tanzania? au unaongelea hii iliyochakachuliwa? hivi unajua nyerere aliachaje kufundisha pale pugu? nani alikuwa anamlipa? je serikali ya mkoloni ilikuwa inaruhusu kuwa mwajiriwa wake halafu wakati huohuo ukiwa kwenye siasa?
I am sure hatufafani katika uelewa baina yangu na wewe. we kama unataka nikupe shule sema, otherwise nikunipotezea muda wangu tu.
 
Ndugu akili zako ni ndogo kulko hawa wanafunzi,wenda hujaelewa kazi za serikali za vyuo vikuu au unadumisha ujinga wa ccm kuwa wanafunz waachane na siasa wakati wao hawataki kufanya kazi zinazolingana na taaruma zao bali wanakimbilia kwenye siasa make ndimo wanaficha maovu yote,watu hawa ni wanafki sana.

chezea moto........
 
Kwa mara ya mwisho natofautiana na nyinyi...kwanza naomba ufuatilie hotuba ya Nyerere kuhusu dhima kuu ya kuanzisha UDSM....Unapowakataza siasa...do you really know the meaning of politics??? Nchi inahitaji vitu gani vile??
Kuna wanaochukua political science pia...Dont try to smother our young students...they have to start from now....!

zingatieni masomo. acheni mrojo. maneno meeengi%
 
Kaka una akili sana mpaka zinapindukia lakini kwa kuweza kunionyesha ni wapi /Kipengele gani kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM inaonyesha wataenda kusimamia uchaguzi wa serikali za wanavyuo?

zingatieni masomo. acheni mrojo. maneno meeengi%
 
Hivi watu wa ccm poa mkoje? Utadhani mnaishi kwenye li sayari gani sijui lililojaa giza na udongo wake wa masizi! Mbona pumba sana? Ndiyo maana mnasemaga "vijana ni taifa la kesho". aHata uwezo tu mdogo wa kureason hakuna! Halafu mnang'ang'ania kuendelea kututawala ili tuendelee kubanana katika ufahamu wenu ulio kama kisanduku kinachonuka mauti?

Mbona mnatia aibu na hasira sana. Please washaurini uvccm, ubavu wa kujipa nafasi ya ushauri usaha kwa vijana wa mabadililko hamna. Hope umenielewa.

zingatieni masomo. acheni mrojo. maneno meeengi%
 
Kamkana kwa sababu ya siasa chafu,usaliti ndio umemponza,asingekuwa na tamaa yasingemkuta.siasa is part of life ndugu,usipotoshe hata jk alipelekwa chuoni kueneza siasa na fikra za chama.acha kuwa muoga wa maisha,wangapi wanapeta bila hayo madigiri yenu? Maisha ni komborela unaweza ukawa na masters lakini bado ukapigwa bao kimaisha na form four.vijana wa saut kazeni buti.
bila shaka huu ushauri utakuwa wa lema. wanafunzi wamafukuzwa udom, udsm kwa sababu ya ushawishi wa lema wameishia kuja kulalamika humu jf. lema kawapotezea maana malengo yake yametimia. haya endelea kuwapoteza vijana.
 
Natofautiana na wanaosema wanafunzi waachane na siasa;.
Politics is power,politics is everything and every where,Politics is in all fields i.e economics,social,science,environment,religion,education,sexual,etc.
My advise;wasishabikie wanasiasa.
 
bila shaka huu ushauri utakuwa wa lema. wanafunzi wamafukuzwa udom, udsm kwa sababu ya ushawishi wa lema wameishia kuja kulalamika humu jf. lema kawapotezea maana malengo yake yametimia. haya endelea kuwapoteza vijana.

UDSM inaongozwa na kada wa ccm Prof. Mukandala na UDOM inaongozwa na kada mwingine wa ccm Prof. Kikula. Kazi yao kubwa ni kutekeleza maagizo ya ccm hasa kuwafukuza wanafunzi wasioiunga mkono ccm.

Chuo kikuu cha mtakatifu Augustino (SAUT) ni chuo kilicho huru hakiendeshwi kwa matakwa ama mashinikizo ya ccm ama chama kingine chochote.
 
Kwanza hata hamueleki nyie waG, mara mseme TAA kilikuwa chama cha starehe, kama mkisimamia hiyo kauli yenu, je nyerere alijiunga na chama cha siasa au cha starehe?
lakini la muhimu kabisa, je waijua historia vizuri ya tanzania? au unaongelea hii iliyochakachuliwa? hivi unajua nyerere aliachaje kufundisha pale pugu? nani alikuwa anamlipa? je serikali ya mkoloni ilikuwa inaruhusu kuwa mwajiriwa wake halafu wakati huohuo ukiwa kwenye siasa?
I am sure hatufafani katika uelewa baina yangu na wewe. we kama unataka nikupe shule sema, otherwise nikunipotezea muda wangu tu.

Unasemaje wewe mF !??
 
andelea kuleta ngonjera zako hapa. ukifukuzwa unakuja kutuandikia makala reeeeefu la malalamiko. kwa nini usijifunze kutokana na makosa? au hujui maana ya historia?

juha is the word.tena bonge la juha
 
Back
Top Bottom