thomaskitomari
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 472
- 201
Asante sana Baba swalehe watu wapunguze upuuzi kichwan hasa wachumia tumbo wa kijani,Sina msongo wa mawazo
Na wala mm sio ccm wala chadema
Am simply a neurosurgeon at gothernberg
But mm ni mzalendo , naishi maisha mazuri kuliko wewe
Nanunua gari nalotaka , nyumba nayotaka , chakula nachotaka
Mwanangu anasoma shule yeyote marekani , nilipambna na siasa zenu chafu mpaka kufika hapa
Shwain , narudia punguza upumbavu kichwan , kuwa mzalendo
Fikiri kuhusu kizazi chako cha mbele
Nimemalza , reserving some of my words was a best respect for you kifinger