muntu marwa
Senior Member
- Apr 26, 2013
- 155
- 26
Ni kutokana n jana kua jifanya wanajua kushusha bendera za chadema maeneo yote hasa mjini atakapopita mh.kikwete kuna mti uko crdb cdm walipandisha bendera ccm wakafanya doria usiku watoe wakati wanajiandaa makamanda wakatokea ilikua kazi mpaka ocd kuja na mbunge msigwa na mkurugenzi kutamka zitolewe zote n kuwekwa za taifa na ccm kulalamika mitaani kua cdm kumbe wamejipanga mana kumbe kila kwenye bendera ya cdm makamanda watatu wanalinda mnasemaje wadau kwa hilo