Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,989
Huo ni urongo wa Chadema
Kamuulize jiwe na job,maana hao awalali kwa kuihofia CDM
.
Kamuulize jiwe na job,maana hao awalali kwa kuihofia CDM
.
Serkali ndio inaliamiliki jeshi la polisi sio ccm rudi shule mkuu
CCM hamna chama humo, limebakia Jeshi la Police, Tume ya uchaguzi kuhalalisha uporaji wao wa kura.Na ccm wamejipanga kwa kupora bila aibu form za wagombea udiwani na ubunge kwa kutumia TISS na green gurd...pia mbinu itakayotumika ni kusema form haikujazwa vzr na mambo mengi mengi ilimradi tu mtu wa ccm apite bila kupingwa...huku mitandaoni akina bia yangu, wakudadavua na mgonjwa mtambuka wakijifariji kuwa chadema imekufa...ndo maana wanadai mwaka huu hatuwezi kushinda...onyo kwa ccm na serikali yake, huu mwaka kam mtaleta figisu bc historia itaandikwa upya...na tutawashinda kwa vyovyote vile...leteni upimbi lkn nchi mtaiona chungu...