i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 378
kutokana na matokeo yaliyotoka mpaka sasa hivi ni dhahiri kuwa ccm hawana chao, sasa swali linakuaj kuwa ccm wapo tayari kumtangaza nassari kuwa kashinda? Lowasa anajulikana na kwa kutoa toa mijihela kila sehamu na sasa hivi ni dhahiri kuwa akili inafanya kazi ili mkwe wake atangazwe...
kweli watamytangaza nassari au watacheza faulu kama kawaida yao?
kweli watamytangaza nassari au watacheza faulu kama kawaida yao?