ccm inategemea kura aina ifuatayo kushinda.
1. Kura za wizi.
hapa wanajiandalia kucheza na ballots, wataiba ili kuwezesha kura zao zitoshe, hapa watawatumia wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na makada wezi wazoefu kama kina Kingunge na makada wenzao.
2.kura za wasio piga kura.
hili ni kundi kubwa la wapenda mageuzi wasio piga kura, wengi wao wako miji mikuu, hasa Dar es salaam , Morogoro , Mwanza na mikoa mingine mikubwa, kwao kupiga kuraa ni jukumu la wajinga, wasio soma, na wala wasio na kazi, wao wako busy kila siku, wanadhani ukombozi ni jukumu la kundi fulani la watu.
3. kura za Wazee na waoga wa mageuzi.
hawa ni wale watu wanaogopa mageuzi, wanaminishwa kuchagua chama tofauti na ccm ni kumkana JK Nyerere,RIP.
WANAONYESHWA FILAMU ZA VITA BURUNDI NA RWANDA , huku wakiaminishwa kupitia Channel 10, TBC, Uhuru FM, Daily News, uhuru na Mzalendo kuwa , wapinzani ni chanzo cha vita.
4.Kura za wasomi mamluki.
hawa walikuwepo hata uchaguzi wa mwaka 2005, wengi wao walikwenda kula pilau pale Diamond Jubelee, wakihadiwa kulipiwa ada kwa 100%, wakatoka pale wameshiba wakiimba ccm nambari one, Nguvu mpaya kazi mpaya.
hawa ni wajinga ingawa wapo vyuo vya elimu ya juu, elimu yao haijawasaidia kuondokana na ujinga, hata wakuchanganua ujinga mwepesi kama huo.
5.Kura za waarabu, Wahindi na foreigner.
hawa ni wengi sana, kuna wasomali kemkem wanaishi kiholela hapa Tz, wako Tanga, wako Temeke DSM, WAKO kILIMANJARO NA aRUSHA,
KUNAwahindi, WAO na familia zao, wamenufaika na utawala legelege wa ccm, wanafuja mali zataifa hili kama vichaa, wengi hawana uraia wa TZ, ingawa wana vitambulisho vya kupigia kura, wengi wamechanga mamilioni kusaidia kampeni za kina makamba na ccm yao, ni waoga wamageuzi, wanaogopa kupata mtawala mfuata sheria, maana watakua hatarini kunaswa na mkono wa sheria.
kufikia hapo ccm itakua na kura millioni 4. hizi wanazo tayari, wanatafutia za kujazia , kutegemea na kazi ya kampeni na mvuto wa mgombea wao kama anao bado, na mvuto wa wabunge kama kina Mwakyembe, kuweza kumpatia kura za wanaKyela Kikwete.