Kwanza Slaa sio mchungaji(Padre) tena, alikuwa hivyo zamani. Pili, hata kama mtu ni mchungaji bado ana haki ya kutoa maoni yake na kushiriki siasa kama wananchi wengine. Kwani Munishi kakosea kusema CCM ni chama cha majambazi? hayo ni maoni yake. Kwahiyo bro. BULL, maoni yako ni pumba tena pumba za shubiri ambazo hata nguruwe anapata shida kuzila, mwaka huu HATUDANGANYIKI. REMEMBER TO VOTE FOR DR. W.P. SLAA.