Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,176
- 48,460
Huwa nacheka Sana CCM wanapokuwa wanashangaa matatizo ya watanzania kama vile ni watu wasioishi ndani ya Tanzania.
Kama vile ndio wameanza kuitawala Tanzania mwaka huu 😄😄Huwa nacheka Sana CCM wanapokuwa wanashangaa matatizo ya watanzania kama vile ni watu wasioishi ndani ya Tanzania.
Inashangaza sana... Kila waendapo ni matamko kama vile ndiyo mwaka huu wameingia madarakani na waliokuwa madarakani ni chama kingine na waliharibu na wao wanarekebisha.Kama vile ndio wameanza kuitawala Tanzania mwaka huu 😄😄
Hao ni kuwachukulia tu kama tinavyowachukulia hawa jamaa wanaookota malipo huku mtaani (machizi)Wanashangaa kama vile wametokea China mimi nishawazoea mkuu..
Labda ni kweli hawajui kinachoendelea kumbuka kuna kipindi walikuwa wanasema etiInashangaza sana... Kila waendapo ni matamko kama vile ndiyo mwaka huu wameingia madarakani na waliokuwa madarakani ni chama kingine na waliharibu na wao wanarekebisha.
Halafu jinsi CCM kulivyojaa kasuku wakaanza kurudia rudia hayo maneno.Labda ni kweli hawajui kinachoendelea kumbuka kuna kipindi walikuwa wanasema eti
'wapinzani (Chadema)wametuchelewesha'...huu msemo ulivuma sana.