Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Wao wamezoea kuwaimbia watu linyimbo lao lile "NA WAVIMBE WAPASUKE" lakini sasa na wao wajiandae kuvimba na kupasuka maana wanakabiliwa na chaguzi 6 ndogo lakini MOTO katika majimbo sita WATAYOSTUKIZWA kwa style ya Nyalandu...Kati ya Chaguzi hizo, 2 ziko Singida...SINGIDA WAMEAMUA!
Mimi ni mjumbe tu nimewapa habari ili angalau mfanye kikao na Lusinde muandae ZIGO LA MATUSI kama ilivyo kawaida, maana ndo kipaji pekee mlichobaki nacho...KEEP WELL!
Mimi ni mjumbe tu nimewapa habari ili angalau mfanye kikao na Lusinde muandae ZIGO LA MATUSI kama ilivyo kawaida, maana ndo kipaji pekee mlichobaki nacho...KEEP WELL!