CCM wanafanya nini hiki miaka hii ya 2025?

CCM wanafanya nini hiki miaka hii ya 2025?

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Picha utafikiri za miaka ya 1914 kwenye Vita kuu ya dunia

Picha utafikiri wanamlika samaki kwenye maji?

CCM wanashindwa kabisa kuweka technology nzuri

Hizi aibu kwa nchi mpaka lini ? Hawajui tupo duniani na dunia inafatilia haya maigizo yao?

Ndio maana wakenya wanatucheka tu na kuhaki system za nchi.

Hii sio video low quality Bali ni anoloji pro Max

Haibu nyingine kwa Taifa

Halafu mbona Kuna watu siwaoni hapo kulikoni wako wapi

Top leaders wako wapi wengine mbona siwaoni?
 
Picha utafikiri za miaka ya 1914 kwenye Vita kuu ya dunia

Picha utafikiri wanamlika samaki kwenye maji?

CCM wanashindwa kabisa kuweka technology nzuri

Hizi aibu kwa nchi mpaka lini ? Hawajui tupo duniani na dunia inafatilia haya maigizo yao?

Ndio maana wakenya wanatucheka tu na kuhaki system za nchi.

Hii sio video low quality Bali ni anoloji pro Max

Haibu nyingine kwa Taifa

Halafu mbona Kuna watu siwaoni hapo kulikoni wako wapi

Top leaders wako wapi wengine mbona siwaoni?
Wanafanya hiki hapa 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DMkYda0RgVA/?img_index=1&igsh=MXUxaWJxbWtxcXFlYg==
 
Back
Top Bottom