Hatukuwaona kuandamana baada ya ripoti ya CAG kutolewa,serikali ya majambazi wezi wanaishangilia,chama kimepoteza dira mvuto wanashangilia,Lusinde,Raisi Mkapa,Ole sendeka matusi hatukuwaona,Wabunge wa chadema kucharangwa mapanga na makada kuuawa hatujawaona hao ni majuha wa nchi hii