VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
- Thread starter
- #61
Wewe ndiye muongo.Lini umeona Maafisa wote wa chama wameenda likizo? Acha ujuha kijanaMleta mada ni muongo na mzushi mkubwa, ccm wapo likizo tangu tarehe moja ya mwaka mpya hadi jumatatu.danganyaneni