sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,895
- 5,308
Wehu hawa. Ni lini tutayofautisha naamuzi ya chama na serikali?
siku ccm ikitoka madarakani mkuu, vinginevyo tusahau nchi hii itabaki kwa ya malalamiko daima.
Wehu hawa. Ni lini tutayofautisha naamuzi ya chama na serikali?
kuchele ku-mtwalaa
mwamanye vandu
Hapa Lumumba,ofisi ndogo za CCM Dar, sasa ni vikao mfululizo. Kamati mbalimbali zinaundwa na kupewa majukumu mbalimbali lakini yenye lengo moja:kuiadhibu Mtwara. Kwanini waandamane kupinga kuisafirisha gesi toka huko Mtwara hadi Dar es Salaam? Kwanini wamsaliti Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa nchi? Wapo Wajumbe wenzangu wanawaita Mtwara wahaini na wasaliti.
CCM imeapa kuidhibu Mtwara. Wanakamati tumepewa kazi ya kutafuta adhabu mujarabu na kuishauri Serikali. Nitakuja kuwaambia adhabu husika baada ya Kikao cha Jumatatu. Hali ni tete hapa Lumumba.Tutaonana siku hiyo.Jadilini lakini mjue hivyo
Wenu,
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa
Hapa Lumumba,ofisi ndogo za CCM Dar, sasa ni vikao mfululizo. Kamati mbalimbali zinaundwa na kupewa majukumu mbalimbali lakini yenye lengo moja:kuiadhibu Mtwara. Kwanini waandamane kupinga kuisafirisha gesi toka huko Mtwara hadi Dar es Salaam? Kwanini wamsaliti Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa nchi? Wapo Wajumbe wenzangu wanawaita Mtwara wahaini na wasaliti.
CCM imeapa kuidhibu Mtwara. Wanakamati tumepewa kazi ya kutafuta adhabu mujarabu na kuishauri Serikali. Nitakuja kuwaambia adhabu husika baada ya Kikao cha Jumatatu. Hali ni tete hapa Lumumba.Tutaonana siku hiyo.Jadilini lakini mjue hivyo
Wenu,
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa
Mtu Mzima hatishiwi nyau atii! hizo hila tu mnataka watu waogope.Askari jasiri ni yule alie tayari kufia Vitani, tuko tayari ,liwalo na liwe, hatuogopi tunawasubiri kwa hamu mafisadi nyie ,ama zenu ama zetu hadi kieleweke!!!!
Itakuwaje kama wanacnhi wa Mtwara wakiamua kuiadhibu ccm?