CCM wamechukua full Control ya Klabu ya Yanga

CCM wamechukua full Control ya Klabu ya Yanga

Mwenyekiti wao ndiye aliyekuwa anatoa zile pesa za KILA GOLI.

WHY? Wawe mbali.
 
Mbowe pia ni yanga na ameipongeza. Kitu Mimi sipendi hapa ni kupenyeza mabango ya wanasiasa ndani ya VIWANJA VYA soka. Lakini timu ikipokelewa na bavicha,uwt,bawacha sioni tatizo ili mradi wanamapenzi na club husika na si hidden agenda
 
Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

View attachment 2646373View attachment 2646374
namuona Mama wa UWT ( Usalama wa Taifa) wa CCM
 
Washajua akili za wa bongo ndiko zilikolalia na ndiko kunakowapumbaza, Sasa kwanini wasichukue fursa?
 
Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

View attachment 2646373View attachment 2646374
Meanayanga ndio huyo huyo mwanaccm.Mo ni CCM kwa hiyo Simba mali ya CCM
 
Wibu au ni ujinga tafuta kokote kule bata kwenye nchi za kikomonist kama kuna huu ujinga, huu unafanyika kwa Taifa la wajinga wasio jitambua
mbona unataja wakomunist kwa sisi ni wakomunist?tuacheni yanga tupate raha zetu tuondoe stress kama wewe ni simba kaa na stress zake.
 
Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

View attachment 2646373View attachment 2646374
Duniani kote, Serikali ni full control kwa kila kitu ndani ya nchi husika. Serikali hutunga sheria, sera, miongozo na kanuni kusimamia maeneo tofauti (deligation).

Hata hili la Yanga Serikali kusaidia sio mbaya wala geni kwani ni wananchi wake (Klabu Yanga).

Serikali inge-mute kuwapongeza tungepiga kelele, inawapa hongera tunapiga kelele.

Mimi sio shabiki wa Yanga, ila nawapongeza na waendelee kupongezwa na yeyote yule anayejali uzalendo.
Hata Ihefu, Simba,Azam, Kitayose/Tabora wakifanya vizuri mbeleni wapongezwe tu, haina namna.

Mleta uzi, wakati una leta uzi jamvini ulifikiri sawa sawa kweli au kidogo ulivurugwa na mambo ya kifamilia?
 
Back
Top Bottom