CCM wamechukua full Control ya Klabu ya Yanga

CCM wamechukua full Control ya Klabu ya Yanga

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
5,496
Reaction score
14,113
Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

FB_IMG_1685906359973.jpg
FB_IMG_1685906379346.jpg
 
Wibu au ni ujinga tafuta kokote kule bata kwenye nchi za kikomonist kama kuna huu ujinga, huu unafanyika kwa Taifa la wajinga wasio jitambuahapo

Hapo sasa shabiki wa CDM aingie kwenye hafla yoyote ya simba na bendera ya CDM, utaona matamko yatatoka kwenye mamlaka zote, hadi viongozi wa dini watatakiwa watoe matamko kuwa tusichanganye soka na siasa.
Mbona mbowe ni YANGA ..usemi nae kaingiza YANGA kwenye siasa. Au kwakuwa hajaenda kupokea.
 
Hapo sasa shabiki wa CDM aingie kwenye hafla yoyote ya simba na bendera ya CDM, utaona matamko yatatoka kwenye mamlaka zote, hadi viongozi wa dini watatakiwa watoe matamko kuwa tusichanganye soka na siasa.
chadema si ipo kwenye operesheni 255 nani kawazuia wasije kuwapokea yanga
 
Kwani umeshindwa nn kusema wewe ni Kolo usiye hata na Kikombe cha kunywea uji mwaka huu...
Naamini wewe utakuwa ni DEMU, maana sitaki kuamini kama Kuna MWANAMUME asiyejiamini kama wewe🤔
 
Back
Top Bottom