CCM wamechukua full Control ya Klabu ya Yanga

CCM wamechukua full Control ya Klabu ya Yanga

Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

View attachment 2646373View attachment 2646374
We kuku mzeee
 

Attachments

  • Screenshot_20230604_224851_Instagram.jpg
    Screenshot_20230604_224851_Instagram.jpg
    194.6 KB · Views: 6
Sasa msoga family ipo upande huo unategemea nini?
 
Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

View attachment 2646373View attachment 2646374
Kwani shida ni nini hujaieleza? Au rangi za "Young African Club" (Yanga)? Au Rais kutoa ndege?

Kumbuka Simba na Yanga kwenye mashindano ya CAF walipewa fedha kwa kila goli walilofunga.

Simba iliishia robo fainali kwa kutolewa kwa mikwaju ya penati nyumbani kwa Waydad, timu ambayo inacheza fainali. Iwapo itakuwa bingwa timu za Tz zitakuwa zimetolewa na Mabingwa.

Hivyo basi, tumepiga hatua kubwa ya mchezo wa soka nchini na Serikali inapaswa kupongezwa na siyo CCM.
 
Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

View attachment 2646373View attachment 2646374
Chunguza au Fuatilia CCM au Serikali inapo jiingiza kwenye michezo na ahadi nyingi basi ujuwe mambo hayata fanikiwa.
Tena hujiingiza mwisho kwa kuona ipo tamaa ya kushinda kumbe ndio kushindwa.
 
Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

View attachment 2646373View attachment 2646374
Pole. Unashindana na upepo. Nenda kampokee Tundu Lissu upate na tumehuru. Sisi tuachie timu yetu iliyotuletea uhuru.
 
Mimi ni Yanga ila I hate sana huu ujinga, hii hata North Korea huwezi kuta Chama cha Kokomonist kinafanya huu ujinga. China kule huwezi kuta huu ujinga, ni kwa nini lakini ni Tanzania ndio kuna kiwango hiki cha ujinga?

Hakuna nchi Africa hata vyama tawala vinaweza fanya huu ujinga kwa nini lakini ni Tanzania pekee?

CCM ndio ma engineer wa kuuza viwanja ya wazi vya michezo ambayo vilipaswa kukuza vipaji na sasa ndio wako front line kuingiza siasa kwenye Club, najua hata zile million sijui ngapi ni kampeni.

View attachment 2646373View attachment 2646374
Hujafanya uchunguzi umekurupuka tu, usitudanganye na mambo yako ya vijiweni
 
Kwani shida ni nini hujaieleza? Au rangi za "Young African Club" (Yanga)? Au Rais kutoa ndege?

Kumbuka Simba na Yanga kwenye mashindano ya CAF walipewa fedha kwa kila goli walilofunga.

Simba iliishia robo fainali kwa kutolewa kwa mikwaju ya penati nyumbani kwa Waydad, timu ambayo inacheza fainali. Iwapo itakuwa bingwa timu za Tz zitakuwa zimetolewa na Mabingwa.

Hivyo basi, tumepiga hatua kubwa ya mchezo wa soka nchini na Serikali inapaswa kupongezwa na siyo CCM.
Umena hapo ni jezi za Yanga? Acha ujinga
 
Wanasiasa wa bongo (hasa CCM) wanaenda na trend kutafuta umaarufu.
Wasanii wa bongo movie, music, boxing au mtu yoyote akiibuka na umaarufu wanaingia akipotea wanampotezea.
 
Kwani shida ni nini hujaieleza? Au rangi za "Young African Club" (Yanga)? Au Rais kutoa ndege?

Kumbuka Simba na Yanga kwenye mashindano ya CAF walipewa fedha kwa kila goli walilofunga.

Simba iliishia robo fainali kwa kutolewa kwa mikwaju ya penati nyumbani kwa Waydad, timu ambayo inacheza fainali. Iwapo itakuwa bingwa timu za Tz zitakuwa zimetolewa na Mabingwa.

Hivyo basi, tumepiga hatua kubwa ya mchezo wa soka nchini na Serikali inapaswa kupongezwa na siyo CCM.
Hapo umeongea kweli lkn ccm ni valogi sana! Bhangosha!
 
Kwa hyo miaka hyo ya asili yanga akipiga mechi moja wakolon wanakimbia? Achen uongo bhana!
 
Mbona mbowe ni YANGA ..usemi nae kaingiza YANGA kwenye siasa. Au kwakuwa hajaenda kupokea.
Kupongeza si kosa, kosa ni kupeleka mabendera kwenye hafla isiyohusiana na siasa, jambo lile sio sahihi. Kwani kwenye hafla zenu bendera haziwatoshi? Mlichokifanya ni sawa na kwenda kuuza kitimoto kwenye baraza la Iddy.
 
Back
Top Bottom