UKAWA hawana hali ngumu kwani mpaka sasa wanaoisoma namba ni miCCM. Na raisi kama anamaanisha aliyotuahidi wataisoma namba saaaaana. Wanachi tunasubiri awanyoyeshe vizuri hao mafisadi wakubwa. Kumbe ndiyo maana gharama za serikali zilikuwa kubwa sana!!! Walikuwa wanaenda nje kama wanaenda kariakoo tena kijiji kizima kinaenda!!! Semina nje, mikuatano nje nk. Magufuli wanyoshe haoooooo!!!!! Tutaelewa mengi awamu hii na tunamwombea raisi azidi kufanya kweli waisome naaaaamba!!!!!!!
UKAWA wanahali ngumu mno, spidi ya Dr Magufuli imewapoteza kabisa, kwasasa hawajui wasimamie hoja ipi? ya ufisadi ishakuwa kaa la moto, basi wamekuwa ni watu wa matukio tu, sioni hata haja ya uchaguzi wa Raisi 2020