CCM waliposhangilia kulamba matapishi yao

CCM waliposhangilia kulamba matapishi yao

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,317
Reaction score
139,034
Inachekesha sana kuona CCM walijivua nguo kwenye yote isipokuwa ishu za katiba pendekezwa na urais wa zenji.

Ni lipi lingine ambalo wapinzani hawakuwahi kulalamika kwenye bajeti zao.Aje mtu hapa aseme.

Wote tunakumbuka kelele za kina Slaa kuhusu safari za nje,CCM wakakebehi.

Nini ulikuwa msimamo wa Mbatia kuhusu elimu bure wakaulizwa hela mtatoa wapi.

Mnyika alihoji sana kuhusu sheria ya manunuzi,CCM walipiga kura za ndiooo.

Wamesahau uchambuzi wa Kafulila kuhusu viwanda na ukusanyaji wa mapato.Alionekana anaongea mambo ya kufikirika.

Lema aliwahi kumwambia Kikwete ampe majina ya wauza madawa awataje, ikaonekana nchi itayumba.

Ile clip ya Msigwa je kuhusu akili ndogo kuongoza akili ndogo.

Tundu Lissu na ulalamishi wake kwenye sheria mbovu na muundo wa muungano.Leo hii ya Zanzibar yanawaumbua.

CCM leo wanashangilia kuramba matapishi bila aibu.Na Mungu alivyo hapendi wanafiki mnaweza msitimize hata moja.UKAWA hatuna haja ya kushabikia maneno we need actions.Tupo makini na tutazidi kuwaonyesha njia za kupita.Tunajipongeza kuwaokota mlipokuwa mmepotea na kuwaweka sawa kuelekea kwenye peak.Niwashauri mtunze akiba ya maneno msubiri vitendo kwanza!!!Acheni ushabiki mandazi jivikeni ujasiri wa kuhoji pale mtakapoachwa ferry
 
UKAWA wanahali ngumu mno, spidi ya Dr Magufuli imewapoteza kabisa, kwasasa hawajui wasimamie hoja ipi? ya ufisadi ishakuwa kaa la moto, basi wamekuwa ni watu wa matukio tu, sioni hata haja ya uchaguzi wa Raisi 2020
 
Mhhh! ishu zitabaki kupelekewa huduma muhimu wananchi, mfano maji, madawa, barabara,umeme n.K.
 
UKAWA wanahali ngumu mno, spidi ya Dr Magufuli imewapoteza kabisa, kwasasa hawajui wasimamie hoja ipi? ya ufisadi ishakuwa kaa la moto, basi wamekuwa ni watu wa matukio tu, sioni hata haja ya uchaguzi wa Raisi 2020

Aisee halijatimizwa hata moja unaanza kushangalia ahaaaa.....! Ungekuwa demu wanaume wangejinufaisha kwa kutoa ahadi nzuuri hahahahah......
 
Inachekesha sana kuona CCM walijivua nguo kwenye yote isipokuwa ishu za katiba pendekezwa na urais wa zenji.

Ni lipi lingine ambalo wapinzani hawakuwahi kulalamika kwenye bajeti zao.Aje mtu hapa aseme.

Wote tunakumbuka kelele za kina Slaa kuhusu safari za nje,CCM wakakebehi.

Nini ulikuwa msimamo wa Mbatia kuhusu elimu bure wakaulizwa hela mtatoa wapi.

Mnyika alihoji sana kuhusu sheria ya manunuzi,CCM walipiga kura za ndiooo.

Wamesahau uchambuzi wa Kafulila kuhusu viwanda na ukusanyaji wa mapato.Alionekana anaongea mambo ya kufikirika.

Lema aliwahi kumwambia Kikwete ampe majina ya wauza madawa awataje, ikaonekana nchi itayumba.

Ile clip ya Msigwa je kuhusu akili ndogo kuongoza akili ndogo.

Tundu Lissu na ulalamishi wake kwenye sheria mbovu na muundo wa muungano.Leo hii ya Zanzibar yanawaumbua.

CCM leo wanashangilia kuramba matapishi bila aibu.Na Mungu alivyo hapendi wanafiki mnaweza msitimize hata moja.

Mtajuta Na umbulula wenu mwakahuu mmeshikwa pabaya ACT;-TAIFA KWANZA
 
UKAWA wanahali ngumu mno, spidi ya Dr Magufuli imewapoteza kabisa, kwasasa hawajui wasimamie hoja ipi? ya ufisadi ishakuwa kaa la moto, basi wamekuwa ni watu wa matukio tu, sioni hata haja ya uchaguzi wa Raisi 2020

Na Bahati mbaya hata hayo matukio hayana nguvu watu wanawadharau hahaha

ACT;-TAIFA KWANZA
 

Attachments

  • 1448181774884.jpg
    1448181774884.jpg
    34.3 KB · Views: 1,329
Inachekesha sana kuona CCM walijivua nguo kwenye yote isipokuwa ishu za katiba pendekezwa na urais wa zenji.

Ni lipi lingine ambalo wapinzani hawakuwahi kulalamika kwenye bajeti zao.Aje mtu hapa aseme.

Wote tunakumbuka kelele za kina Slaa kuhusu safari za nje,CCM wakakebehi.

Nini ulikuwa msimamo wa Mbatia kuhusu elimu bure wakaulizwa hela mtatoa wapi.

Mnyika alihoji sana kuhusu sheria ya manunuzi,CCM walipiga kura za ndiooo.

Wamesahau uchambuzi wa Kafulila kuhusu viwanda na ukusanyaji wa mapato.Alionekana anaongea mambo ya kufikirika.

Lema aliwahi kumwambia Kikwete ampe majina ya wauza madawa awataje, ikaonekana nchi itayumba.

Ile clip ya Msigwa je kuhusu akili ndogo kuongoza akili ndogo.

Tundu Lissu na ulalamishi wake kwenye sheria mbovu na muundo wa muungano.Leo hii ya Zanzibar yanawaumbua.

CCM leo wanashangilia kuramba matapishi bila aibu.Na Mungu alivyo hapendi wanafiki mnaweza msitimize hata moja.

Sasa tatizo liko wapi? Na siyo ndiyo maana ya upinzani? Au wewe upinzani uliuelewaje labda? Kumbuka lengo hapa ni kujenga TanZania na haijalishi mawazo au mapendekezo yanatolewa na nani!
Na hili Raisi Magufuli aliliongelea sana wakati wa Kampeni zake kwamba maendeleo hayana Chama,
kwani br. ikijengwa na Serikali ya CCM siyo ya wana CCM tu bali ni ya wote!
Mimi nilifikiri hata utafurahia kwamba CCM wanachukuwa yale mazuri yaliyopendekezwa na Upinzani pmj na watu wengine wasiokuwa na vyama na kuyafanyia kazi kwa manufaa ya TanZania nzima, kumbe ni kinyume chake!

 
CCM msijidanganye,Haijawai kutokea haramu ikazaa halali, Mara zote haramu huzaa haramu na halali huzaa halali. Rais wetu Magufuli Ana nia njema, lakini hajaingia ikulu kihalali.kwa hali hiyo hawezi kufikia ambition zake kikamilifu.Hiyo ni kanuni ya asili,ikivunjwa maana yake hakuna Mungu.
 
Mimi kama UKAWA nafurahia kuona kina Mbowe na wenzake walichokuwa wanapigania kila siku, kubana matuzmizi yasiyo na lazima, kuweka mfumo mzurivwq manunuzi nk......khs safari za nje kweli nawaona CCM ni wanafiki sana, hata humu ndani kwenye uzi wa safari za Rais tukirudia kuusoma tutaona jinsi vijana wa Lumumba humu walivyokuwa wanatukana kutetea hizo safari, leo Rais anazipinga eti nao wanashangilia, uhayawani wa kumalizia mwaka.
 
Inachekesha sana kuona CCM walijivua nguo kwenye yote isipokuwa ishu za katiba pendekezwa na urais wa zenji.

Ni lipi lingine ambalo wapinzani hawakuwahi kulalamika kwenye bajeti zao.Aje mtu hapa aseme.

Wote tunakumbuka kelele za kina Slaa kuhusu safari za nje,CCM wakakebehi.

Nini ulikuwa msimamo wa Mbatia kuhusu elimu bure wakaulizwa hela mtatoa wapi.

Mnyika alihoji sana kuhusu sheria ya manunuzi,CCM walipiga kura za ndiooo.

Wamesahau uchambuzi wa Kafulila kuhusu viwanda na ukusanyaji wa mapato.Alionekana anaongea mambo ya kufikirika.

Lema aliwahi kumwambia Kikwete ampe majina ya wauza madawa awataje, ikaonekana nchi itayumba.

Ile clip ya Msigwa je kuhusu akili ndogo kuongoza akili ndogo.

Tundu Lissu na ulalamishi wake kwenye sheria mbovu na muundo wa muungano.Leo hii ya Zanzibar yanawaumbua.

CCM leo wanashangilia kuramba matapishi bila aibu.Na Mungu alivyo hapendi wanafiki mnaweza msitimize hata moja.UKAWA hatuna haja ya kushabikia maneno we need actions.Tupo makini na tutazidi kuwaonyesha njia za kupita.Tunajipongeza kuwaokota mlipokuwa mmepotea na kuwaweka sawa kuelekea kwenye peak.Niwashauri mtunze akiba ya maneno msubiri vitendo kwanza!!!Acheni ushabiki mandazi jivikeni ujasiri wa kuhoji pale mtakapoachwa ferry

Sio kusubiri tu action, lazima mshiriki kufanikisha azma ya serikali ya MaguFULI kufanikisha yote iliyokusudia na si kukwamisha na kukejeli km ilivyo kawaida ya upinzani
 
Last edited by a moderator:
CCM msijidanganye,Haijawai kutokea haramu ikazaa halali, Mara zote haramu huzaa haramu na halali huzaa halali. Rais wetu Magufuli Ana nia njema, lakini hajaingia ikulu kihalali.kwa hali hiyo hawezi kufikia ambition zake kikamilifu.Hiyo ni kanuni ya asili,ikivunjwa maana yake hakuna Mungu.

Huwo msemo inabidi uupeleke chadema ambako fisadi Lowasa alipewa ugombea uraisi ndani ya masaa mawili kinyume na Katiba na utaratibu wa chadema hali iliyopelekea hata Mzee Slaa na Lipumba kujiuzulu, hivyo kama unaongelea karma ya dhuluma basi ni wazi kwamba imewarudia chadema kwa maana wamekataliwa vibaya na watanZania!
 
Huwo msemo inabidi uupeleke chadema ambako fisadi Lowasa alipewa ugombea uraisi ndani ya masaa mawili kinyume na Katiba na utaratibu wa chadema hali iliyopelekea hata Mzee Slaa na Lipumba kujiuzulu, hivyo kama unaongelea karma ya dhuluma basi ni wazi kwamba imewarudia chadema kwa maana wamekataliwa vibaya na watanZania!

Na ndio maana hata Lowasa kashindwa,kwa tafsiri ile ile Haramu haizai halali!!!!?
 
Inachekesha sana kuona CCM walijivua nguo kwenye yote isipokuwa ishu za katiba pendekezwa na urais wa zenji.

Ni lipi lingine ambalo wapinzani hawakuwahi kulalamika kwenye bajeti zao.Aje mtu hapa aseme.

Wote tunakumbuka kelele za kina Slaa kuhusu safari za nje,CCM wakakebehi.

Nini ulikuwa msimamo wa Mbatia kuhusu elimu bure wakaulizwa hela mtatoa wapi.

Mnyika alihoji sana kuhusu sheria ya manunuzi,CCM walipiga kura za ndiooo.

Wamesahau uchambuzi wa Kafulila kuhusu viwanda na ukusanyaji wa mapato.Alionekana anaongea mambo ya kufikirika.

Lema aliwahi kumwambia Kikwete ampe majina ya wauza madawa awataje, ikaonekana nchi itayumba.

Ile clip ya Msigwa je kuhusu akili ndogo kuongoza akili ndogo.

Tundu Lissu na ulalamishi wake kwenye sheria mbovu na muundo wa muungano.Leo hii ya Zanzibar yanawaumbua.

CCM leo wanashangilia kuramba matapishi bila aibu.Na Mungu alivyo hapendi wanafiki mnaweza msitimize hata moja.UKAWA hatuna haja ya kushabikia maneno we need actions.Tupo makini na tutazidi kuwaonyesha njia za kupita.Tunajipongeza kuwaokota mlipokuwa mmepotea na kuwaweka sawa kuelekea kwenye peak.Niwashauri mtunze akiba ya maneno msubiri vitendo kwanza!!!Acheni ushabiki mandazi jivikeni ujasiri wa kuhoji pale mtakapoachwa ferry

mimi nafikiria kwa sasa tunatakiwa kuleta hapa list ya viwanda, mashamba na mashirika yaliyobinafsishwa ili tuyakumbuke nadhani mheshimiwa ataiona hiyo list na kuishuhulikia chapchap ili tunde mbele. Mtu akishanogewa ngoma yako akaanza kuicheza inabidi umchezeshe unavyotaka kwa sababu yeye haijui. Nadhani ukawa wachezeshe vizuri huyu jamaa ili cc wana wanchi tufurahie anavyo kata mauno!
 
Tanzania ni ya wote, mnaowasema vibaya wapinzani mlikuwa mnataka nchi hii iwe ya chama kimoja? Ni ukweli usiofichika kuwa wabunge wa CCM walikua wanashabikia hata masuala yasiyokuwa na maslahi kwa taifa ilimradi yanaipendelea serikali na viongozi wake. Jambo hili lilikuwa linawachukiza hata baadhi ya wana CCM wazalendo wa kweli na kuonekana ni wasaliti. Ni wazi kuwa hata Magufuli lilikuwa linamkera sana na ndiyo maana kaja na mikakati ileile ambayo wapinzani walikua wakiipigia kelele ndani na nje ya bunge. Leo hii Rais anaonyesha hiyo mikakati halafu wana CCM walewale wanashangilia kana kwamba ndo wanaisikia leo. Tuweni wazalendo wa kweli na tuache unafiki kwa maslahi mapana ya taifa letu
 
Back
Top Bottom