CCM are so smart lakini chadema are smarter. Nilikuwa na mtu mmoja wa CCM akaniambia mission ilikuwa ni kumwekea lema pingamizi ili ccm wapite kilaini. Kwamba walimhukumu kwa kifungu batili ila jaji hakusema kama anaruhusiwa kugombea au la. Hata kama ilikuwa kosa la jaji lazima ukate rufaa kuliondoa. Kama Lema angedanganyika kugombea jimbo lingeenda kwa technicalities. CCM wanajua kwa kura hawawezi kushinda.