Mwaka 2000 jina la Ghalib Hilal liliongoza katika kura za maoni ya CCM kumpata mgombea urais wa Zanzibar.
Lakini NEC ya CCM ilipokaa iliondoa jina la Ghalib Bilal na kumweka Amani Karuma, tena naiskia aliyekuwa wa tatu.
Kitendo hicho kikaunda kundi na kundi la Bilal liliendelea kuwa na nguvu.
Karuma akatawala kwa miaka mitano na ilipofika mwaka 2005, wengi wakajua kuwa ataendela kwa kipindi cha pili kama kawaida ya CCM.
Kumbe, Ghalib Bilal alikuwa anaendelea na mipakakati yake kugombea urais wa Zanzibar kupitia CCM bila kujali mazoea ya CCM ya kumwacha aliyeko madarakani amalizie miaka mitano inayofuata.
Watu wakadhani utani, hatimaye pamoja na Amani Karume kuchukau fomu za kumalizia kipindi chake, GHalib BIlali naye akachukua fomu ili wakakutane kule Dodoma. Wakati huo mwenyekiti wa chama ni Benjamin Mkapa.
Sik ya siku ikafika, hadi watu wamekusanyika pale Dodoma, Kikwete hajachaguliwa kuwa mgombea wa CCM na jina la Rais wa Zanznibar haijajulikana atakuwa Bilali au Karume.
VYombo vya habari vilimshambulia sana Bilal kwa swali kwamba "kwa nini ameamua kugombea urais wakati bado aliyeko madarakani atagomea". Jibu la Bilali lilikuwa ni fupi na hakuna mwana CCM mwandishi wa habari aliyeweza kupnagua hoja yake.
Hoja au jibu la GHalib BIlali lilikua hivi, "Kama kugombea kungekuwa na tatizo basi kanuni zingesema". Hakuna tena ndani ya CCM hadi leo mwenye akili ya kupnagua jibu hili, maana ni ukweli.
Sasa, baadaye imebakai kama siku moja kule Dodoma, ndipo GHalib BIiali akaondoa jina. Je, aliondoaje"?
Kwa mujibu wa hotuba ya Rais Mkapa kule Zanzibar anasema "KWa heshima na ttadhima nilimwomba BIlali aondoe jina lake".
Hivyo, BIlali akawa ameweka precedence kwamba, hakuna kanuni inayomkataza mwana CCM kugombea urais na aliyeko madarakani. Sanasana kama watu hawapendi, basi hawana kifungu cha kumfukuza au kumzuia kama akiamua kugombea.
Na zaidi ukitaka aache msitumia mashinikizo badala yake kumwomba kama MKapa alivyomwomba Bilali kwa heshima na taadhima.
Na kuona kilichotokea baadaye ni kwamba Bilali huyohuyo akaja kupewa umakamu wa Raia wa Muungano mwaka 2010.
Kimsingi ni kwamba kuna kitu ndani ya CCM kinaendelea na haijulikani kwamba sasa wakati umefika wa kukifumua au bado. Hiki kitu ni kwamba kw amiaka mingi baada ya Nyerere CCM wamekuwa wakitafuta namna ya kufanya ikibidi Rais atawale kipindi kimoja tu. Taabu ni jinsi wao wenyewe walivyompa madaraka makubwa mno Rais maana ukijaribu tu japo siyo kosa basi utashughulikiwa na wapambe hata kama Rais mwenyewe hatashughulika yeye mwenyewe.
Hivy, kinachoendelea sasa utasikia majina Membe, Diallo na mengine mengi lakini ukweli ni huu nilioueleza.
Tatizo la hawa hawajitokezi hadharani kama Ghalib Bilali. Wajitokeze na wawe na jibu lilelile la Bilali maana huwa halijibiki kwa hoja.
Lakini NEC ya CCM ilipokaa iliondoa jina la Ghalib Bilal na kumweka Amani Karuma, tena naiskia aliyekuwa wa tatu.
Kitendo hicho kikaunda kundi na kundi la Bilal liliendelea kuwa na nguvu.
Karuma akatawala kwa miaka mitano na ilipofika mwaka 2005, wengi wakajua kuwa ataendela kwa kipindi cha pili kama kawaida ya CCM.
Kumbe, Ghalib Bilal alikuwa anaendelea na mipakakati yake kugombea urais wa Zanzibar kupitia CCM bila kujali mazoea ya CCM ya kumwacha aliyeko madarakani amalizie miaka mitano inayofuata.
Watu wakadhani utani, hatimaye pamoja na Amani Karume kuchukau fomu za kumalizia kipindi chake, GHalib BIlali naye akachukua fomu ili wakakutane kule Dodoma. Wakati huo mwenyekiti wa chama ni Benjamin Mkapa.
Sik ya siku ikafika, hadi watu wamekusanyika pale Dodoma, Kikwete hajachaguliwa kuwa mgombea wa CCM na jina la Rais wa Zanznibar haijajulikana atakuwa Bilali au Karume.
VYombo vya habari vilimshambulia sana Bilal kwa swali kwamba "kwa nini ameamua kugombea urais wakati bado aliyeko madarakani atagomea". Jibu la Bilali lilikuwa ni fupi na hakuna mwana CCM mwandishi wa habari aliyeweza kupnagua hoja yake.
Hoja au jibu la GHalib BIlali lilikua hivi, "Kama kugombea kungekuwa na tatizo basi kanuni zingesema". Hakuna tena ndani ya CCM hadi leo mwenye akili ya kupnagua jibu hili, maana ni ukweli.
Sasa, baadaye imebakai kama siku moja kule Dodoma, ndipo GHalib BIiali akaondoa jina. Je, aliondoaje"?
Kwa mujibu wa hotuba ya Rais Mkapa kule Zanzibar anasema "KWa heshima na ttadhima nilimwomba BIlali aondoe jina lake".
Hivyo, BIlali akawa ameweka precedence kwamba, hakuna kanuni inayomkataza mwana CCM kugombea urais na aliyeko madarakani. Sanasana kama watu hawapendi, basi hawana kifungu cha kumfukuza au kumzuia kama akiamua kugombea.
Na zaidi ukitaka aache msitumia mashinikizo badala yake kumwomba kama MKapa alivyomwomba Bilali kwa heshima na taadhima.
Na kuona kilichotokea baadaye ni kwamba Bilali huyohuyo akaja kupewa umakamu wa Raia wa Muungano mwaka 2010.
Kimsingi ni kwamba kuna kitu ndani ya CCM kinaendelea na haijulikani kwamba sasa wakati umefika wa kukifumua au bado. Hiki kitu ni kwamba kw amiaka mingi baada ya Nyerere CCM wamekuwa wakitafuta namna ya kufanya ikibidi Rais atawale kipindi kimoja tu. Taabu ni jinsi wao wenyewe walivyompa madaraka makubwa mno Rais maana ukijaribu tu japo siyo kosa basi utashughulikiwa na wapambe hata kama Rais mwenyewe hatashughulika yeye mwenyewe.
Hivy, kinachoendelea sasa utasikia majina Membe, Diallo na mengine mengi lakini ukweli ni huu nilioueleza.
Tatizo la hawa hawajitokezi hadharani kama Ghalib Bilali. Wajitokeze na wawe na jibu lilelile la Bilali maana huwa halijibiki kwa hoja.