Nawaomba CDM Wawasiliane na Ndugu wa karibu Kabisa Kama ndio Msaada wa Kumsafirisha marehemu Umeshapatikana wao watoe Rambi Rambi Taslimu!! Kwa ndugu Wahusika Kabisa Either Tanga kwani Najua Huko Morogoro Huyo Marehemu alikuwa anatafuta Maisha Tu!! Nilijua suala la Kusafirisha mwili wa marehemu na kushiriki lingekuwa Gumu kwani kuna expert Hapo Morogoro ambaye Misaada yake ni kusaidia Kuzika Badala ya kutoa Madawa Hospitalini na Kuwazuia Polisi waaache kushiriki Mauaji!!!! Ni muhimu wamtumie Mwenyekiti au Viongozi waliopo Tanga Kuanza Mawasiliano na Ndugu wa Marehemu!!