Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,285
- 13,570
Kwa kweli Mbowe aende tu... WaTanganyika washamfahamu kwa rangi zakeMbowe anaenda kutambulishwa
Kwa kweli Mbowe aende tu... WaTanganyika washamfahamu kwa rangi zakeMbowe anaenda kutambulishwa
Ndiyo cha mauaji , utekaji na ugaidiTukiongelea nguvu ya Chama kama Chama lazima tukubaliane kuwa CCM ni Chama kikubwa.
Ndo akili za nyumbu zilipofikia🤣🤣Nchimbi kaleta balaa
Ni nani hao kwenye NEC; siyo hao hao wanaosababisha maumivu haya?CCM wameitisha NEC ya dharura keshokutwa (Jumatano), Dodoma.
Huenda kukawa mambo mapya yataibuka?
Tueleze wewe kama siyo Nchimbi, hiyo NEC itakutana wakati huu kwa kazi gani?Ndo akili za nyumbu zilipofikia🤣🤣
Tena akinukishe asikubali kabisaNchimbi hawe fukuzwa na ‘wageni’ toka Zanzibar
CCM siyo Mali ya mafisadi wachache .chamaa kirudi kwa wenyewe. Wana CCM msikubali kuburuzwaNdo akili za nyumbu zilipofikia🤣🤣
"Dharura"?Lakuzingatia neno Dharula
Sawa,mkuu utatujuzaCCM wameitisha NEC ya dharura keshokutwa (Jumatano), Dodoma.
Huenda kukawa mambo mapya yataibuka?
Ya nini kutafuta balaa mkuu 'Waterloo'; huoni Mbowe kajifukuza mwenyewe?Wanataka kumla kichwa Emanuel Nchimbi hao . Sijui chadema wanangoja nini kumfukuza mbowe uanachama. Jitu linaonesha usaliti waziwazi.walifukuze liende huko CCM likajiachie vizuri.
Hawa akina NEC; ni nani hasa jina kwa jina la kila mmoja wao.CCM wameitisha NEC ya dharura keshokutwa (Jumatano), Dodoma.
Huenda kukawa mambo mapya yataibuka?
Hakyna jipya ni wale waleNchimbi kaleta balaa
Dah!
📌Bahati mbaya sana hakuna yeyeto mwenye uthubutu wa kuongea au kutoa mawazo yake kwa sasa.
Wajumbe wataenda pale watalipwa posho zao, watamsikiliza mwenyekiti ajenda ya kwanza, wataunga mkono, ajenda ya pili wataunga mpaka ajenda ya mwisho zote wataunga mkono. Kikao kitafungwa, picha zitazambazwa mtandaoni.
Hakuna mwenye uthubutu wa kuongea au kutoa mawazo mbadala. Hapo ndo CCM ilipofika.
Hakuna neno "Dharula" duniani au mbinguni.La kuzingatia neno Dharula