buyegiboseba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 535
- 145
Haki siku zote haipotei,na kila uovu utalipwa hapa hapa duniani,njia ya mwongo ni fupi.mchana mwema!
Hivi mtu akikosekana mahakamani hakimu anatuma watu wa kumtafuta nje? Je Lissu ndio angekuwa hajaonekana huko mahakamani bila taarifa si angepelekwa ndani kwa kudharau mahakama. CCM na vibaraka wenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama na wewe hujaelewa Ingia mitini kabla haijaingia kwenye masaburiwameingia mitini ndio nini? tumia lugha ya kimahakama!!!
Sisi na Mungu wetuHivi mtu akikosekana mahakamani hakimu anatuma watu wa kumtafuta nje? Je Lissu ndio angekuwa hajaonekana huko mahakamani bila taarifa si angepelekwa ndani kwa kudharau mahakama. CCM na vibaraka wenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wameingia mitini ndio nini? tumia lugha ya kimahakama!!!
Hakimu mwenyewe mbumbumbu wa sheria unadhani atafanya nn hapo, cyo kama ya mahakama kutuma mtu kumtazama mtu mwnvne nje, ila kwa sababu ya ujinga wake hakimu, acha tumwone...
Inaweza kuwa kweli eeh? :lol:CCM wanacheza danadana ili mradi tu Lissu asiende bungeni hadi miswaada yenye utata ipite.