Baada ya mahojiano ya asubuhi, jaji aliahirisha hadi saa 8:00 ili utetezi uendelee, cha ajabu CCM na wafuasi wao hadi sasa hawajaingia mahakamani, jaji ametuma wafanyakazi wa mahakama kuangalia huku na kule bila kuwaona walalamikaji au hata mawakili wao. Tutaendelea kuwajuza. Ngoja nione uamuzi ataoutoa jaji.