MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
umbea mtupu. Baada ya kuanzisha viwanda vya kutengeneza gongo, sasa chadema wana viwanda vya kutengeneza porojo
kwani uteuzi unafanyika kwenye maarasa yote a kwenye ukumbi mmoja tu?
kwani uteuzi unafanyika kwenye maarasa yote a kwenye ukumbi mmoja tu?
umbea mtupu. Baada ya kuanzisha viwanda vya kutengeneza gongo, sasa chadema wana viwanda vya kutengeneza porojo
umbea mtupu. Baada ya kuanzisha viwanda vya kutengeneza gongo, sasa chadema wana viwanda vya kutengeneza porojo
CCM leo wamefunga shule ya sekondari Msata ili watumie eneo la shule hiyo kwa ajili ya uteuzi wa mgombea ubunge, kwao elimu ya watoto sio muhimu lakini wameona ni muhimu kufanyia zoezi hilo kwenye eneo la shule.
wakati huohuo kuna ugomvi umetokea kwenye chumba cha mgahawa mmoja ambapo baadhi ya wajumbe walioletwa hapo kwa ajili ya chai walianza kurushiana maneno na baadae kushikana mashati kutokana na kupunjana pesa za mgao walizo pewa kama rushwa.
unaripoti mwenyewe kutoka eneo la tukio au kwa taarifa za kuambiwa?
CCM leo wamefunga shule ya sekondari Msata ili watumie eneo la shule hiyo kwa ajili ya uteuzi wa mgombea ubunge, kwao elimu ya watoto sio muhimu lakini wameona ni muhimu kufanyia zoezi hilo kwenye eneo la shule.
wakati huohuo kuna ugomvi umetokea kwenye chumba cha mgahawa mmoja ambapo baadhi ya wajumbe walioletwa hapo kwa ajili ya chai walianza kurushiana maneno na baadae kushikana mashati kutokana na kupunjana pesa za mgao walizo pewa kama rushwa.
kwani uteuzi unafanyika kwenye maarasa yote a kwenye ukumbi mmoja tu?