Wanabodi,
Katika kile kinachoendelea kuonyesha ni kushindwa vibaya kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani unaoendelea kwa sasa kwenye kata ya bangata arumeru magharibi, kampeni meneja wa ccm bwana bosco eduad saimoni ametoa silaha ya moto mean bastola na kumtishia kijana wa chadema aliyekuwa akitangaza matangazo ya mkutano wa hadhara, ndipo alipotokea bwana bosco na kuziba barabara kwa kutumia gari aina ya rav4.
Chakushangaza baada ya mtuhumiwa huyo kuwekwa chini ya ulinzi na vijana wa chadema kisha kamanda kilewo na makamanda wengine kama diwani gibson wa kachukua hatua ya kupiga simu polisi kwa ocd wa usa, baada ya hapo polisi waliwasili na kumchukua mtuhumiwa huyo na kuchukua bastola na kumpeleka kituo cha usa, ila baada ya masaatakribani manne tu, mtuhumiwa huyo aliachiwa huru jana siku ya jumapili.
Je sheria hapa inasemaje kwa mtuhumiwa kuachiwa huru bila uchunguzi wa kina kufanyika, wananchi wakimuona mitaani wakiamua kuchukua sheria mikononi nani wa kulaumiwa?
Ocd usa kiukweli anatumika na hawa magamba, cdm endeleezeni uimara wenu huwo huwo wakutoongopa vitisho vya jeshi la polisi kutumiwa na magamba.
Katika kile kinachoendelea kuonyesha ni kushindwa vibaya kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani unaoendelea kwa sasa kwenye kata ya bangata arumeru magharibi, kampeni meneja wa ccm bwana bosco eduad saimoni ametoa silaha ya moto mean bastola na kumtishia kijana wa chadema aliyekuwa akitangaza matangazo ya mkutano wa hadhara, ndipo alipotokea bwana bosco na kuziba barabara kwa kutumia gari aina ya rav4.
Chakushangaza baada ya mtuhumiwa huyo kuwekwa chini ya ulinzi na vijana wa chadema kisha kamanda kilewo na makamanda wengine kama diwani gibson wa kachukua hatua ya kupiga simu polisi kwa ocd wa usa, baada ya hapo polisi waliwasili na kumchukua mtuhumiwa huyo na kuchukua bastola na kumpeleka kituo cha usa, ila baada ya masaatakribani manne tu, mtuhumiwa huyo aliachiwa huru jana siku ya jumapili.
Je sheria hapa inasemaje kwa mtuhumiwa kuachiwa huru bila uchunguzi wa kina kufanyika, wananchi wakimuona mitaani wakiamua kuchukua sheria mikononi nani wa kulaumiwa?
Ocd usa kiukweli anatumika na hawa magamba, cdm endeleezeni uimara wenu huwo huwo wakutoongopa vitisho vya jeshi la polisi kutumiwa na magamba.