RC & DC lazima chama changu kiwachukulie hatua Kali ikiwezekana hata kuwaamisha au kufukuza kabisa! Yaani wamekubali ccm ihaibike kiasi hiki!? Kwa nini hawakuwaleta wanafunzi wa shule zote hapo Iringa!? Walimu wote!? Hili jambo lazima mwenyekiti wetu Kikwete awachukulie hatua! Polisi kwa nini hawakwenda wote, waliovalia magwanda na wale wasio vaa!? Haiwezekani chama changu kiaibike kiasi hiki!?