CCM vyeo vya mwenyekiti wa taifa na makamu zake kwanini huwa hawana mpinzani?

LENGIO

JF-Expert Member
Apr 9, 2012
1,096
508
Mwenyekiti wa ccm na makamu zake kwanini huwaga hawanaga mpinzani hupigiwa kura ya ndio au hapana hiyo ndio demokrasia?nahakika kabisa kikwete angekuwa na mpinzani kama angepata kura nyingi sana angepata asilimia 60 au chini ya hapo.na ukija kwa makamu mangula asingepita kabisa wapo wengi wanaofiti nafasi hiyo kuliko yeye na wenye pesa za kifisadi.kwa upande wa visiwani shein hukuna mpinzani ambaye angeweza kuchuana naye.
 
Halafu wanasema chadema walienda kujifunza demokorasia, hiyo ndio demokorasia?. Ndio maana walimfukuza shibuda, ujinga km huo alikuwa hataki kuusikia. 2015 anarudi ccm akawachangamshe tena.
 
Mkuu unaweza kuniambia mpinzani wa mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa nani?
 
Mwenyekiti wa ccm na makamu
zake kwanini huwaga
hawanaga mpinzani
hupigiwa
kura ya ndio au hapana hiyo
ndio demokrasia?nahakika
kabisa kikwete angekuwa na
mpinzani kama angepata kura
nyingi sana angepata asilimia
60 au chini ya hapo.na ukija
kwa makamu mangula
asingepita kabisa wapo wengi
wanaofiti nafasi hiyo kuliko
yeye na wenye pesa za
kifisadi.kwa upande wa
visiwani shein hukuna
mpinzani ambaye angeweza
kuchuana naye.

Hapo kwenye red kuna shida mkuu, ebu weka vizuri kwanza.
 
Ccm maigizo tu, niloshangaa eti spika makinda anatangaza kuwa hakuna kura iliyoharibika wao wanashangilia, sikuwaelewa kwa kweli.
 
CCM. wapo makini sana ndio maana hakuna kura zilizo halibika, pia hata mbowe hakuwa na mpizani slaa hakuwa na mpizani, zito hakuwana mpinzani. sasa usihoji ccm anza chadema.
 
Ngugu Wanajamvi,

Pamoja na malengo makuu ya mkutano Mkuu wa nane wa taifa wa CCM, moja ya mambo mengine ambayo CCM imependa kutuaminisha watanzania kwenye mkutano huu, ni kwamba ndani ya CCM demokrasia imekua kwa kiwango kikubwa kinachostahili kuigwa na vyama vingine;

Je wanajamvi kuchagua viongozi wakuu kama mwenyekiti wa chama na makamu wake bila washindani-yaani kwa kura ya NDIO na HAPANA ni ukomavu wa kidemokrasia unaofaa kuigwa?

Naomba wakuu mchangie kwa majibu mafupi.
 
achana nao, wengine wageni katika siasa.......China kule nao wanauchaguzi, sijui kama kiti cha kiongozi mkuu wako wagombea zaidi ya mmoja?

......
Mkuu unaweza kuniambia mpinzani wa mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa nani?
 
Makamu wa mwenyekiti kwa upande wa visiwani, ni sawa sawa sina ubishi, lakini makamu upande wa Bara mwenyekiti kuchagua jina moja analolitaka yeye.....! hapo kuna namna either alishamuona mzee Msekwa yuko upande gani au alishajua mtazamo wake.

Ndio maana Pius Msekwa akalalama ya kuwa "kwa kuwa nafasi ya makamu wa mwenyekiti haujazi fomu na kuwa mimi bado nina nguvu, afya njema... lakini mwenyekiti ameamua nipumzike, sina jinsi inabidi kukubali kutua kijiti hiki kwa mwenzangu mzee Mangula"
 
Mwenyekiti wa ccm na makamu zake kwanini huwaga hawanaga mpinzani hupigiwa kura ya ndio au hapana hiyo ndio demokrasia?nahakika kabisa kikwete angekuwa na mpinzani kama angepata kura nyingi sana angepata asilimia 60 au chini ya hapo.na ukija kwa makamu mangula asingepita kabisa wapo wengi wanaofiti nafasi hiyo kuliko yeye na wenye pesa za kifisadi.kwa upande wa visiwani shein hukuna mpinzani ambaye angeweza kuchuana naye.

Kunya anye kuku tu!Zito alipotaka kugombea Uenyekiti dhidi ya Mbowe ilikuwaje?Si wangepigiwa kura tu mwenye nyingi ashinde!Makamu mwenyekiti alishindana na nani?Vyama vyote vinaiga CCM tu !Bora CUF lipumba alikuwa na mpinzani!
 
Back
Top Bottom