NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Nashangaa sana kuona watu wanalalamika udini kisa tu viongozi wengi wa ccm ni wa dini ya kiislam,
Kwenye fomu za uongozi CCM, hakuna kuulizwa dini!, unaulizwa sifa na vigezo, hakuna kigezo cha dini ya mtu!.
Kwenye kupendekeza majina wakristo walikuwemo hawakujipendekeza, kwenye kupiga kura wakristo walikuwemo hawakuharibu kura, kwenye kuhesabu kura pia hata kusoma matokeo, kama ni udini kwanini malalamiko hayakufanywa huko kwenye hatua za awali kabisa kama chama kinaendeshwa kwa mistari ya biblia
Mwenyekiti Taifa - Samia Suluhu Hassan
Makamu Mwenyekiti Bara - Abdalhaman Omari Kinana
Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Ali Mohamed Shein anafuata Hussein Ali Mwinyi
Mwenyekiti Wazazi - Fadhili Rajabu Maganya
Makamu Mwenyekiti Wazazi - Doto Iddi Mabrouk
Mwenyekiti Vijana Taifa - Mohammed Ali Mohammed
Makamu Mwenyekiti Vijana Taifa - Rehema Sombi Omary
Kwenye fomu za uongozi CCM, hakuna kuulizwa dini!, unaulizwa sifa na vigezo, hakuna kigezo cha dini ya mtu!.
Kwenye kupendekeza majina wakristo walikuwemo hawakujipendekeza, kwenye kupiga kura wakristo walikuwemo hawakuharibu kura, kwenye kuhesabu kura pia hata kusoma matokeo, kama ni udini kwanini malalamiko hayakufanywa huko kwenye hatua za awali kabisa kama chama kinaendeshwa kwa mistari ya biblia
Mwenyekiti Taifa - Samia Suluhu Hassan
Makamu Mwenyekiti Bara - Abdalhaman Omari Kinana
Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Ali Mohamed Shein anafuata Hussein Ali Mwinyi
Mwenyekiti Wazazi - Fadhili Rajabu Maganya
Makamu Mwenyekiti Wazazi - Doto Iddi Mabrouk
Mwenyekiti Vijana Taifa - Mohammed Ali Mohammed
Makamu Mwenyekiti Vijana Taifa - Rehema Sombi Omary
Mwenyekiti uvccm taifa
Mohamed Kawaida
Makamu mwenyekiti uvccm taifa
Rehema Sombi Omari
Mwakililishi kutoka uvccm kwenda jumuiya ya wazazi
Shabani Shabani
Wajumbe wa baraza kuu Taifa (3)
Shamira Juma Mshangama
Jenipher Alphonce Mamuhindo
Gloria Ayoub Katalambula,
Wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa (NEC)- Zanzibar (2)
Muhsin Haji Ussi
Mwanaenzi Hassan Suluhu
Wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa (NEC)- Bara (3)
Ramadhani Mwinshehe Mlao
Musa Mwakitinya
Lulu Guyo Mwacha.
Mohamed Kawaida
Makamu mwenyekiti uvccm taifa
Rehema Sombi Omari
Mwakililishi kutoka uvccm kwenda jumuiya ya wazazi
Shabani Shabani
Wajumbe wa baraza kuu Taifa (3)
Shamira Juma Mshangama
Jenipher Alphonce Mamuhindo
Gloria Ayoub Katalambula,
Wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa (NEC)- Zanzibar (2)
Muhsin Haji Ussi
Mwanaenzi Hassan Suluhu
Wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa (NEC)- Bara (3)
Ramadhani Mwinshehe Mlao
Musa Mwakitinya
Lulu Guyo Mwacha.