ili cdm iweze kuyafikia malengo yake ya kisiasa imapaswa kutafakari yafuatayo.
1.propaganda ya ukabila na ukaskazini inayoenea kwa kasi kubwa.
2.kashfa zinazo wakabili mbowe na slaa kwa ufujaji wa pesa za chama.
3.propaganda ya udini ambayo imekua ikikihusisha chama na kanisa katoliki.
USHAURI
Kwanza ni kuunda upya safu ya uongozi .ktk hili mwkt wa chama taifa anapaswa kua safari au saidi arfi.katibu mkuu awe kati ya mkumbo au mnyika. mbowe.slaa na zitto waendelee kua viongozi ktk kurugenzi za chama.hii itakua imezifuta propaganda zinazoenezwa kwa kasi nchini.pia itaondoa mgongano wa maslahi kati y zitto na slaa na hivyo wote kuunganisha nguvu kukijenga chama.na ccm itaku haima chake2015.
TANBIHI.wapo wanaojifanya radicals cdm na kutukana kila mawazo yenye nia njema kwa chama.tuwaangalie vizuri.huenda ni mashabiki wanaojazana mikutanoni halafu mwisho wa siku hawapigi kura halafu wanakaa vijiweni eti wamesubiri ushindi washangilie.
....... NAWASILISHA.....
1.propaganda ya ukabila na ukaskazini inayoenea kwa kasi kubwa.
2.kashfa zinazo wakabili mbowe na slaa kwa ufujaji wa pesa za chama.
3.propaganda ya udini ambayo imekua ikikihusisha chama na kanisa katoliki.
USHAURI
Kwanza ni kuunda upya safu ya uongozi .ktk hili mwkt wa chama taifa anapaswa kua safari au saidi arfi.katibu mkuu awe kati ya mkumbo au mnyika. mbowe.slaa na zitto waendelee kua viongozi ktk kurugenzi za chama.hii itakua imezifuta propaganda zinazoenezwa kwa kasi nchini.pia itaondoa mgongano wa maslahi kati y zitto na slaa na hivyo wote kuunganisha nguvu kukijenga chama.na ccm itaku haima chake2015.
TANBIHI.wapo wanaojifanya radicals cdm na kutukana kila mawazo yenye nia njema kwa chama.tuwaangalie vizuri.huenda ni mashabiki wanaojazana mikutanoni halafu mwisho wa siku hawapigi kura halafu wanakaa vijiweni eti wamesubiri ushindi washangilie.
....... NAWASILISHA.....