Miccm mtakuwa mbioni sana kutaka kuingiza fitina ndani ya vyama hivi, hoja mnazojenga ni muflisi na hazina mashiko ,mnapokuwa kwenye mechi probabilty ya kuumizwa ipo,ya kuvujika ipo ya kufa ipo na hata ya refa kupendelea nayo ipo na timu ya mpira hio inayopata masaibu hayo haivunjwi,haivurugiki na inaendelea kuwepo.
Tume kama refa na mlolongo mzima wa wasimamizi wa uchaguzi labda tuwaite malinesman,makamisaa wamechezesha au waliochezesha uchaguzi huu wamesababisha watu,kuumizwa,kuvunjika miguu na kuuwawa kama haitoshi na upendeleo .
sasa mnapozuka wazushi kutaka kuingiza fitna eti wale wameumizwa,wengine wamekufa na waliobaki ambao walikuwa mstari wa mbele wameingia kwenye timu ya Taifa na sasa wanakula raha ,mtakuwa hamjielewi au mnajua kila kitu kitu ila lengo lenu ni kuingiza fitina ili vyama visifahamiane na nyinyi kujitengenezea mazingira mazuri zaidi,
Mlifanikiwa kuia TLP,CUF na sasa mnaiandama CHADEMA ,eneo mlilopo CCM kwa sasa ni kujaribu kutenganisha vyama hivi viwili vya ACT na CHADEMA,ili uzidi urahisi wa kuteketeza upinzani.
Ninachokifurahia ni kauli za viongozi wa upinzani kukoromea kuwa mbali ya yote ya kuingia kwenye timu ya Taifa bado hawautambui uchaguzi uliopita.
Weka mbali probability za wanajeshi kwenda vitani seuze chama cha siasa kupambana na chama fisadi.
CCM wabaya sana,waharibifu.