bodaboda2
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 872
- 230
CCM imesababisha viwanda vyetu kufungwa na kupelekea mimi mwananchi kukosa ajira! Nchi hii ilikuwa na viwanda kibao na vyoote vimeuzwa au kufa na vingine kugeuzwa maghala:
UDA Imeuzwa
UFI imeuzwa
Tanganyika packers imekufa
Urafiki imekufa
Zzk mbeya imekufa
ATC imekufa
NBC imeuzwa
Mashine tools moshi imekufa
General tyre arusha imekufa
Mwatex imekufa
Sungura textile. Imekufa
Mutex imekufa
Bora imekufa
NMC imeuzwa
Tanita imeuzwa
Tazara inakufa
TRC ilikaribia kufa na sasa inasota na scandal ya mabehewa mabovu
Kibo match imekufa.
RIP CCM
UDA Imeuzwa
UFI imeuzwa
Tanganyika packers imekufa
Urafiki imekufa
Zzk mbeya imekufa
ATC imekufa
NBC imeuzwa
Mashine tools moshi imekufa
General tyre arusha imekufa
Mwatex imekufa
Sungura textile. Imekufa
Mutex imekufa
Bora imekufa
NMC imeuzwa
Tanita imeuzwa
Tazara inakufa
TRC ilikaribia kufa na sasa inasota na scandal ya mabehewa mabovu
Kibo match imekufa.
RIP CCM