Maandiko matakatifu yalishasema tangu kuumbwa kwa ulimwengu kuwa"Ufalme ukifitinika hausimami", CCM yametimia!dalili zote zimeonekana!nazo ni:
Kwa uchache, Viongozi kupenda fedha(ufisadi) kuliko Mungu na watanganyika wenzao, kugombana wenyewe kwa wenyewe, kutukanana matusi makubwa hadharani, Wabunge kusaliti chama chao CCM ambako ni sawa na abiria kutoboa boti wanalosafiria kwenye ziwa lenye mamba,makada kuanzisha CCJ ndani ya CCM ambako ni sawa na kuvaa bomu katikati ya watoto wako, kutumia nguvu kuzima fikra zenye hekima, mtu mmoja kuitisha serikali na bunge,.... n.k
Watanganyika tuamke saa ya ukombozi imefika!
Kwa uchache, Viongozi kupenda fedha(ufisadi) kuliko Mungu na watanganyika wenzao, kugombana wenyewe kwa wenyewe, kutukanana matusi makubwa hadharani, Wabunge kusaliti chama chao CCM ambako ni sawa na abiria kutoboa boti wanalosafiria kwenye ziwa lenye mamba,makada kuanzisha CCJ ndani ya CCM ambako ni sawa na kuvaa bomu katikati ya watoto wako, kutumia nguvu kuzima fikra zenye hekima, mtu mmoja kuitisha serikali na bunge,.... n.k
Watanganyika tuamke saa ya ukombozi imefika!