CCM UDOM yapasuka!

CCM UDOM yapasuka!

BAPUPEGHE

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
220
Reaction score
38
Katika kuonyesha kwamba mambo ndani ya CCM yanaenda Mrama, kumetokea Mpasuko mkubwa. Hii imetokea baada ya vyuo vitatu kujitenga na kitu kinachoitwa siasa feki.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, uongozi wa Chuo cha Jamii, sayansi ya lugha na chuo cha sayansi ya Dunia wamesema kwamba wanakandamizwa kidemokrasia na Uongozi wa chuo Cha Elimu ambao unaongozwa na uongozi pandikizi wa CHADEMA. Amesema kiongozi huyo mwenye kadi ya CDM Namba 0386464 aliyochukua Dodoma mjini amekuwa hanabusara za kiongozi na lengo lake ni kutugawa.

Viongozi hao ambao juzi wamejipambanua kuwa Wanamuunga Edward Lowassa kugombea urais, wamesema kiongozi huyo wa Kitivo cha Elimu ametafna shilingi laki nne baada ya yeye kujichagua na kujipa Majukumu ya Uhazina.

Kwa kweli hana welidi, ni mjinga na mshenzi kabisaa, hawezi fanya kitu hicho tukamfumbia macho ati tunaogopa, tutampeleka Polisi, alisema moja ya kiongozi wa juu wa Tawi la Sanaa na lugha.

Hata hivyo moja ya viongozi wa makao Makuu alipopigiwa simu alisema taarifa wanazo lakni wanasubiri malalamiko hayo kiofisi. Pia Katibu Mstaafu wa kitivo cha elimu alipopigiwa simu alisema hajui chochote kwa kuwa mda wake wa uongozi umeisha. "Mimi sijui kama kuna tatizo, na sidhani kama kutakuwa na matatizo akakata simu" alisema.

Dawati hili litaendelea kutafta uongozi wa elimu ili kuweza kujua undani huu.
 
Eti Ccm! wananjaa kiasi hawa wanaoiga elimu za University..Nao wanasema wapo chuo kikuu!!Utadhani Madrasa University ya Morogoro!!!
 
Ndugu yangu Bupeghe hivi unafikri kwa kutumia nini? Hivi ninyi wasomi vijana mbona mna short sight sana!!! Tatizo nini hasa? Mm nakufahamu sana huna lolote jipya ninyi ndio vijana wenye kadi mbili za vyama CCM na CHADEMA.
 
wanachuo ingefaa zaidi kufanya kilichowapeleka huko siasa wafanye baada ya kuhitimu.
 
Ondoa ujinga huu. Kama ni uongozi wa Wanafunzi ungesema jina la umoja wenu na si kusema UDOM nzima. SIasa uchwara mnazoziendesha msizihusishe taasisi zote za chuo ingawa najua chou hicho kinaendekeza udini na U-CCM
 
Njaa zinawasumbua vijana,hamieni kwenye mtandao wa wajanja CHADEMA
 
UDOM chuo cha vilaza, serikali imeweka juhudi katika kukijenga, TCU wanapeleka vilaza!
 
Katika kuonyesha kwamba mambo ndani ya CCM yanaenda Mrama, kumetokea Mpasuko mkubwa. Hii imetokea baada ya vyuo vitatu kujitenga na kitu kinachoitwa siasa feki.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, uongozi wa Chuo cha Jamii, sayansi ya lugha na chuo cha sayansi ya Dunia wamesema kwamba wanakandamizwa kidemokrasia na Uongozi wa chuo Cha Elimu ambao unaongozwa na uongozi pandikizi wa CHADEMA. Amesema kiongozi huyo mwenye kadi ya CDM Namba 0386464 aliyochukua Dodoma mjini amekuwa hanabusara za kiongozi na lengo lake ni kutugawa.

Viongozi hao ambao juzi wamejipambanua kuwa Wanamuunga Edward Lowassa kugombea urais, wamesema kiongozi huyo wa Kitivo cha Elimu ametafna shilingi laki nne baada ya yeye kujichagua na kujipa Majukumu ya Uhazina.

Kwa kweli hana welidi, ni mjinga na mshenzi kabisaa, hawezi fanya kitu hicho tukamfumbia macho ati tunaogopa, tutampeleka Polisi, alisema moja ya kiongozi wa juu wa Tawi la Sanaa na lugha.

Hata hivyo moja ya viongozi wa makao Makuu alipopigiwa simu alisema taarifa wanazo lakni wanasubiri malalamiko hayo kiofisi. Pia Katibu Mstaafu wa kitivo cha elimu alipopigiwa simu alisema hajui chochote kwa kuwa mda wake wa uongozi umeisha. "Mimi sijui kama kuna tatizo, na sidhani kama kutakuwa na matatizo akakata simu" alisema.

Dawati hili litaendelea kutafta uongozi wa elimu ili kuweza kujua undani huu.

Watoto someni acheni bange!
 
Back
Top Bottom