Tunguja
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 450
- 327
Bila shaka siasa ina tumbo lake, lakini sio lile tumbo la shibeKachero kama kachero njaa mbaya, kapaukaaaa utadhani hakuwahi kuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10
Bila shaka siasa ina tumbo lake, lakini sio lile tumbo la shibeKachero kama kachero njaa mbaya, kapaukaaaa utadhani hakuwahi kuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10
Afadhali huyo yuko kwenye ardhi ya kwao, tofauti na wengine wanao omba omba mikate barabarani huko Ulaya kwa masharti ya ajabu ajabu ikiwa ni pamoja na kusema sema uongo na uzushi usio na faida kwake ila kujishushia heshima na hadhi!Mwingine ameshaozeana chini ya ardhi
Huo ndio ukweli. Hakuna mwenye ubavu wa kumzuia Membe kwa sasa! Jamaa anarudi, na atapata nafasi kubwa ya uteuzi. Masalia ya jiwe wajifunze kuchutama, hizi sasa sio zama zao!Waweke tu hiko kikao cha kupoteza muda na kudanya umma, lakini ninachojua hawana ubavu wa kumkatalia mwanadiplomasia huyo na shujaa wa awamu ya 5 !
Hata hujui unachoandika.Chama cha demokrasia ya magaidi
Yule gaidi mwingine tayari alisha hukumiwa yupo 6ft deepMbowe Pia gaidi tunasubiri tuone hukumu yake itakuwa kunyongwa au kifungo
Ndiyo kwanza ameingia kutoka kwao mbwindeHata hujui unachoandika.
Kayafa kafa itakuwa Mbowe?Ndio bado mbowe na wenzake wakinyongwa itakuwa bora
Msamehe huyo chumia tumbo wa lumumba.Membe ana njaa?? Hebu kua serious kidogo basi
Samia tena!? Huyu yuko upande wa akina Nape na Membe. Haujaona jinsi walivyoanza kupata shavu!?Atamshinda rais Samia?
Uwezekano ni mkubwa sana! Membe atakuwa kwenye nafasi nzuri sana baada ya Samia. Kumbuka utamaduni wa CCM wa kupokezana mgombea Uraisi! 2030 Membe anaweza kuweka karata yake na kupata.Ndoto yake ya kuwa rais itatimia?
Ni misukule tuKabisa aiseeee!! Njaa zao zinawafanya hadi wanakua mazezeta
Utamaduni wa vyama vyote vya siasa Tanzania. Katika hili vyama vyetu vina mshikamano wa kutisha.kwa utamamaduni wa CCM, kauli ya Mwenyekiti wa chama ni ya mwisho,
siasa na unafiki n vinaenda pamojaKachero ni mnafiki
Nadhani amepatiwa alichostahiliChama kinacholindwa na Polisi ni Chama mfu.
Kama wale wengine wanavyo kufa njaa na kuomba omba mikate Ulaya na Kanada na kudhalilishwa na akina BOB! Pole zao!Mwingine ameshaozeana chini ya ardhi
Sungura baada ya kushindwa kupata zile zabibu alisema "sizitaki, kwanza ni mbichi, hazijaiva"!Chama kinacholindwa na Polisi ni Chama mfu.