GE2025 CCM tunavyojimaliza wenyewe ndani kwa ndani!

GE2025 CCM tunavyojimaliza wenyewe ndani kwa ndani!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,380
Reaction score
2,236
Nimefanya utafiti kwa mikoa sita haraka haraka kwa kusafiri mwenyewe na mikoa mingine 15 kwa kufanya mawasiliano ya simu. Jumla nimejitahidi kuwafikia na kuwasiliana na wadau takribani katika wilaya 57 ya mikoa hiyo na kugundua jambo moja baya sana kwa CCM.

Uwezekano mkubwa asilimia zaidi ya 75 ya wabunge na madiwani wa CCM watarudi hao hao. Madiwani wengi wa CCM ni wazee wa zaidi ya miaka 55 na wengi ni wastaafu. Wote hawa wamechukua fomu na hakuna dalili vijana waliochukua fomu watafanikiwa kurudi kwani mazingira ni magumu sana.

Kwa CCM vijana wenye umri chini ya miaka 35 CCM waliochukua fomu wengi watashindwa kupenya kwa sababu madiwani wengi wameamua kutumia fedha walizopewa kama pensheni ya udiwani wameshatoa kwa wajumbe.

Katika mikoa niliyofikia ni mikoa ya Mbeya na Arusha tu ndiyo ambayo waliochukua fomu wapya kwa wageni wanaonekana kuwa na nguvu sawa kihoja na kiuchumi. Mikoa ambayo wanaoweza kurudi wabunge na madiwani asilimia 80 ni Shinyanga, Tanga, Tabora, Mtwara, Singida na Pwani.

Jambo hili ni baya kwani linaashiria kuwa CCM imeshajitengenezea kakundi fulani ambako kanataka kenyewe tu ndiyo kaongoze nchi. Bila viongozi wa CCM kuliona hili hivi punde kutakuwa na tabaka kubwa sana la CCM likakalolichukia kundi hili na hivo going forward kundi hili litakuja kukataliwa kwa aibu kubwa sana.

Mbaya zaidi kikundi hicho kinawaandaa watoto wao kuja kushika nafasi zao, kitu ambacho ni kibaya sana.
 
Nimefanya utafiti kwa mikoa sita haraka haraka kwa kusafiri mwenyewe na mikoa mingine 15 kwa kufanya mawasiliano ya simu. Jumla nimejitahidi kuwafikia na kuwasiliana na wadau takribani katika wilaya 57 ya mikoa hiyo na kugundua jambo moja baya sana kwa CCM. Uwezekano mkubwa asilimia zaidi ya 75 ya wabunge na madiwani wa CCM watarudi hao hao. Madiwani wengi wa CCM ni wazee wa zaidi ya miaka 55 na wengi ni wastaafu. Wote hawa wamechukua fomu na hakuna dalili vijana waliochukua fomu watafanikiwa kurudi kwani mazingira ni magumu sana. Kwa CCM vijana wenye umri chini ya miaka 35 CCM waliochukua fomu wengi watashindwa kupenya kwa sababu madiwani wengi wameamua kutumia fedha walizopewa kama pensheni ya udiwani wameshatoa kwa wajumbe. Katika mikoa niliyofikia ni mikoa ya Mbeya na Arusha tu ndiyo ambayo waliochukua fomu wapya kwa wageni wanaonekana kuwa na nguvu sawa kihoja na kiuchumi. Mikoa ambayo wanaoweza kurudi wabunge na madiwani asilimia 80 ni Shinyanga, Tanga, Tabora, Mtwara, Singida na Pwani.

Jambo hili ni baya kwani linaashiria kuwa CCM imeshajitengenezea kakundi fulani ambako kanataka kenyewe tu ndiyo kaongoze nchi. Bila viongozi wa CCM kuliona hili hivi punde kutakuwa na tabaka kubwa sana la CCM likakalolichukia kundi hili na hivo going forward kundi hili litakuja kukataliwa kwa aibu kubwa sana. Mbaya zaidi kikundi hicho kinawaandaa watoto wao kuja kushika nafasi zao, kitu ambacho ni kibaya sana.
Ccm kama chama itabidi mjilaumu wenyewe, balance ya kuheshimiana ndani ya ccm ilikuwa ni kuheshimu demokrasia ya vyama vingi. Lakini mmegeuka kushabikia chama chenu kupata ushindi wa kunajisi chaguzi za nchi. Automatically mmeua demokrasia ndani ya chama chenu, kwani wanajua hata mkiondoka hamna pakwenda, kwani huko mtashindwa kwa hila. Subirini kwanza wazee wakae madarakani, kisha hizo nafasi wawaachie watoto ndio akili zitawakaa sawa.
 
Ccm kama chama itabidi mjilaumu wenyewe, balance ya kuheshimiana ndani ya ccm ilikuwa ni kuheshimu demokrasia ya vyama vingi. Lakini mmegeuka kushabikia chama chenu kupata ushindi wa kunajisi chaguzi za nchi. Automatically mmeua demokrasia ndani ya chama chenu, kwani wanajua hata mkiondoka hamna pakwenda, kwani huko mtashindwa kwa hila. Subirini kwanza wazee wakae madarakani, kisha hizo nafasi wawaachie watoto ndio akili zitawakaa sawa.
hilo la watoto wao kupewa nafasi ndiyo litatumaliza asee
 
Nimefanya utafiti kwa mikoa sita haraka haraka kwa kusafiri mwenyewe na mikoa mingine 15 kwa kufanya mawasiliano ya simu. Jumla nimejitahidi kuwafikia na kuwasiliana na wadau takribani katika wilaya 57 ya mikoa hiyo na kugundua jambo moja baya sana kwa CCM.

Uwezekano mkubwa asilimia zaidi ya 75 ya wabunge na madiwani wa CCM watarudi hao hao. Madiwani wengi wa CCM ni wazee wa zaidi ya miaka 55 na wengi ni wastaafu. Wote hawa wamechukua fomu na hakuna dalili vijana waliochukua fomu watafanikiwa kurudi kwani mazingira ni magumu sana.

Kwa CCM vijana wenye umri chini ya miaka 35 CCM waliochukua fomu wengi watashindwa kupenya kwa sababu madiwani wengi wameamua kutumia fedha walizopewa kama pensheni ya udiwani wameshatoa kwa wajumbe.

Katika mikoa niliyofikia ni mikoa ya Mbeya na Arusha tu ndiyo ambayo waliochukua fomu wapya kwa wageni wanaonekana kuwa na nguvu sawa kihoja na kiuchumi. Mikoa ambayo wanaoweza kurudi wabunge na madiwani asilimia 80 ni Shinyanga, Tanga, Tabora, Mtwara, Singida na Pwani.

Jambo hili ni baya kwani linaashiria kuwa CCM imeshajitengenezea kakundi fulani ambako kanataka kenyewe tu ndiyo kaongoze nchi. Bila viongozi wa CCM kuliona hili hivi punde kutakuwa na tabaka kubwa sana la CCM likakalolichukia kundi hili na hivo going forward kundi hili litakuja kukataliwa kwa aibu kubwa sana.

Mbaya zaidi kikundi hicho kinawaandaa watoto wao kuja kushika nafasi zao, kitu ambacho ni kibaya sana.
Hii ni kweli kabisa kwa huku Iramba Magharibi Mwigulu anahakikisha madiwani wake wote wanapita.
 
Nimefanya utafiti kwa mikoa sita haraka haraka kwa kusafiri mwenyewe na mikoa mingine 15 kwa kufanya mawasiliano ya simu. Jumla nimejitahidi kuwafikia na kuwasiliana na wadau takribani katika wilaya 57 ya mikoa hiyo na kugundua jambo moja baya sana kwa CCM.

Uwezekano mkubwa asilimia zaidi ya 75 ya wabunge na madiwani wa CCM watarudi hao hao. Madiwani wengi wa CCM ni wazee wa zaidi ya miaka 55 na wengi ni wastaafu. Wote hawa wamechukua fomu na hakuna dalili vijana waliochukua fomu watafanikiwa kurudi kwani mazingira ni magumu sana.

Kwa CCM vijana wenye umri chini ya miaka 35 CCM waliochukua fomu wengi watashindwa kupenya kwa sababu madiwani wengi wameamua kutumia fedha walizopewa kama pensheni ya udiwani wameshatoa kwa wajumbe.

Katika mikoa niliyofikia ni mikoa ya Mbeya na Arusha tu ndiyo ambayo waliochukua fomu wapya kwa wageni wanaonekana kuwa na nguvu sawa kihoja na kiuchumi. Mikoa ambayo wanaoweza kurudi wabunge na madiwani asilimia 80 ni Shinyanga, Tanga, Tabora, Mtwara, Singida na Pwani.

Jambo hili ni baya kwani linaashiria kuwa CCM imeshajitengenezea kakundi fulani ambako kanataka kenyewe tu ndiyo kaongoze nchi. Bila viongozi wa CCM kuliona hili hivi punde kutakuwa na tabaka kubwa sana la CCM likakalolichukia kundi hili na hivo going forward kundi hili litakuja kukataliwa kwa aibu kubwa sana.

Mbaya zaidi kikundi hicho kinawaandaa watoto wao kuja kushika nafasi zao, kitu ambacho ni kibaya sana.
Kuna makubaliano yasiyo rasmi ya wabunge wote warudi isipokuwa "magwajima' kwa sababu hawakuinanga Serikali bungeni.
Magwajima' watatu tayari wamebainika; Wahe.Majaliwa,Gwajiboy na Mpina.
Sina uhakika na Januari na Nape.
 
Kuna makubaliano yasiyo rasmi ya wabunge wote warudi isipokuwa "magwajima' kwa sababu hawakuinanga Serikali bungeni.
Magwajima' watatu tayari wamebainika; Wahe.Majaliwa,Gwajiboy na Mpina.
Sina uhakika na Januari na Nape.
So bad!
 
Ccm kama chama itabidi mjilaumu wenyewe, balance ya kuheshimiana ndani ya ccm ilikuwa ni kuheshimu demokrasia ya vyama vingi. Lakini mmegeuka kushabikia chama chenu kupata ushindi wa kunajisi chaguzi za nchi. Automatically mmeua demokrasia ndani ya chama chenu, kwani wanajua hata mkiondoka hamna pakwenda, kwani huko mtashindwa kwa hila. Subirini kwanza wazee wakae madarakani, kisha hizo nafasi wawaachie watoto ndio akili zitawakaa sawa.
Tindo, Habari ya wapi siku hizi? Long time asee!
 
Back
Top Bottom