CCM tunatia aibu

k
Imewaponza huku kwetu kisukuru juu ccm wametoka kapa viwanja vya bank nakuambia mzee tupatupa wa lumumba sio nyimbo za komba tu ila ccm imechokwa huku kisukuru juu hawana bao
Ukiona watu wazima wamefikia huku , ujue ndio basi tena ?
 

Attachments

  • attachment.jpeg
    11.3 KB · Views: 131
Si bora bora mngemchukua huyu DALLI KIMOKO basi !
 

Attachments

  • images.jpeg
    15.1 KB · Views: 103
... hat approach ya kizamani kushawishi watu wawapigie kura. Mathalani hapa mtaani kwetu (segerea -ugombolwa) tumakeaa vikao vingi sana vya mtaa kuhusu kuchangisha fedha ili kurekebisha barabara kupunguza mashimo zoezi ambalo linasua sua mpaka lew, ila waheshimiwa juzi wamekuja na GREDA na kukwangua kwa MBAALI barabara ILI WAPATE KURA. miaka yote hii wapo wapi na tukiwachagua sasa greda litakuja UCHAGUZI MWINGINE maanayaek!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…