Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,154
- 162,570
Chama cha Mapinduzi(CCM),kimesema kinahitaji wadhamini 450 tu na kwamba wanaozidi watarudishwa kwa mgombea mwenyewe.
Chanzo:Tanzania Daima
My take:
Ni kukomoana au ndio utaratibu?
Kama ni utaratibu,makada wanaopokea wadhamini zaidi ya idadi hiyo hawajui utaratibu?
Chanzo:Tanzania Daima
My take:
Ni kukomoana au ndio utaratibu?
Kama ni utaratibu,makada wanaopokea wadhamini zaidi ya idadi hiyo hawajui utaratibu?