Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Wewe umewahi kufikiriwa?!!!Kafulila angebaki NCCR angalau tungemshauri magufuli amfikilie lakini kutendo cha yeye akijifanya mpinga ufisadi kunadiwa kwenye kampeni Na lowasa imemuua kisiasa
Wewe umewahi kufikiriwa?!!!Kafulila angebaki NCCR angalau tungemshauri magufuli amfikilie lakini kutendo cha yeye akijifanya mpinga ufisadi kunadiwa kwenye kampeni Na lowasa imemuua kisiasa
Huyaogopi.Ila ccm ni zaidi ya mazimwi
Umeandika nini sasa.Kafulila angebaki NCCR angalau tungemshauri magufuli amfikilie lakini kutendo cha yeye akijifanya mpinga ufisadi kunadiwa kwenye kampeni Na lowasa imemuua kisiasa
Sio maneno yangu,ni kauli ya mbunge wa ccm bungeni leo!
Kafulila walimfanya nini????
Sio maneno yangu,ni kauli ya mbunge wa ccm bungeni leo!
Kafulila walimfanya nini????
Naam, no doubt.Nahisi huyu mama amechanganya, Nafikiri alikuwa anamlenga zitto kabwe, kwani alifukuzwa bungeni 2007 kutokana na mkataba WA buzwagi!
Sio maneno yangu,ni kauli ya mbunge wa ccm bungeni leo!
Kafulila walimfanya nini????
Sio maneno yangu,ni kauli ya mbunge wa ccm bungeni leo!
Kafulila walimfanya nini????
Ombi lako limekataliwa!!Lulida ni viti maalum Cuf na sio ccm,naomba kukosolewa km nimekosea.