tatii munisi
Member
- Jun 13, 2017
- 13
- 0
Kwel mama
Kwa nongwa za jamaaa,sijui kama huyu mama atapata tena huo ubungeAngekuwa kiongozi wa serikali huyo mama kesho angesikia taarifa toka kurugenzi ya .......o!
Were EMA yupo lakini?Walimwita tumbili
Sio maneno yangu,ni kauli ya mbunge wa ccm bungeni leo!
Kafulila walimfanya nini????
Mkuu,ndo maana tunachelewa kupata maendeleo.Nchi hii dah!!! Mungu tusaidie. Kumuonea Kafulila walipiga makofi; mama anasema wamuombe msamaha wanapiga makofi ahahahahaaaaaa. Semeni Ndiyoooooo; yote Ndiyoooooo
Ni kweli alianguka kura za maoni ccm akahamia cufHuyu ni mbunge wa Lindi viti maalum Cuf sio ccm..